Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Heshima kwenu waheshimiwa,,,,naomba msaada kwa yeyote anaeweza kunisaidia kupata projector kwa laki tatu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hallo. Habari za kutwa. Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa. Napenda kuwajulisha wale wanaojenga kuwa kuna mabati ya migongo mipana yanauzwa. yapo kama mabati mia moja yana urefu wa mita tatu...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Battery 70000 na adaptor 60000 PM kama unahitaji
0 Reactions
1 Replies
998 Views
Wana jf naomaba kujuzwa kama nikinunua gari, ''toyota duet'' toka zanzibar lililosajiliwa zanzibar nikilileta hapa dar,tra watanikamua sh ngapi? Makisio/makadirio
0 Reactions
1 Replies
991 Views
Wakubwa mwenye gari hizo tajwa hapo juu ambazo siyo kajanja yaani siyo zile sijui D4 ambazo muuzaji anajua kabisa kuwa ni kimeo tuwasiliane na offer yake.
1 Reactions
3 Replies
927 Views
Htc one v inauzwa, ipo kwenye hali nzuri sana, still bado mpya, ina almost two weeks,, nipo morogoro.. Bei 220,000 kwa walio seriouz na biashara::: Call text whatsapp :: 0785673240
0 Reactions
0 Replies
657 Views
This is good news to you all, that now you are safe! Chartered Technology is a company in Tanzania that provides Smart state-of-the-art and innovative range of security technology solutions to...
0 Reactions
0 Replies
704 Views
CHUMBA kinapangishwa. Chumba kipo Morogoro maeneo ya MAFISA, KODI sh/= 30,000, unalipia miezi 6, kina maji kina umeme. Kwa wanaohitaji.. Text and call: 0652013761 Whatsapp: 0785673240
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Type: Epson Model:H249A Contacts:+255-762976548
0 Reactions
3 Replies
935 Views
Pata website kwa ajili ya biashara yako kwa shilingi laki tatu tu ful package. Unapata domain name, unlimited email accounts, hosting ya mwaka mmoja na inaunganishwa na facebook na twitter page...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hello wana jamii, samahanini kea usumbufu, sijui kma ni jukwaa husika au laa, natafuta nyumb ya kupanga hapa dar, iwe kino,knyama mwenge mikocheni nk. Kodi iwe chini ya 150000 kwa mwezi. Ni pm...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wana Jamii Forum, Nauza Bajaji aina ya TVS KING yenye usajili namba T....CAP kwa Tshs 3,100,000 tu! Nime renew Bima mwezi huu na Sumatra pia imelipiwa. For serious buyers tuwasiliane kwa...
1 Reactions
21 Replies
9K Views
Shamba linauzwa lipo morogoro dakawa barabara kuu ya kwenda dodoma ni mitaa 600 toka barabarani.Ekar 1000,lina mifugo na miti asili ng'ombe 150. mbuzi na kondoo 170.linauzwa pamoja na mifugo yake...
0 Reactions
1 Replies
901 Views
Habari Wanajamvi. Katika kuhakikisha siku ya wapendanao - VALENTINE DAY inakuwa ni nzuri na yenye kukumbukwa daima, Kampuni ya EDMARK inayotengeneza VIRUTUBISHO kutoka Malaysia, inakuletea...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Nauza Toyota Noah New model imetoka siku 5 zilizopita kwa Milioni 11 tu ni ya 2003..rangi ya silver na ina cd..dvd..camera ya reverse na 17inch alloy wheels.Karibuni sana.Umaweza kunipigia kwa no...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Times Air Conditioning has provided quality service for residential and commercial customers since-2011 from our home base here Magomeni Dar es salaam. As the company has grown and is growing to...
0 Reactions
2 Replies
886 Views
Kwa mwenye kuhitaji ani pm
0 Reactions
0 Replies
793 Views
Kwa mtu yeyote mwenye simu hizo hapo anataka kuuza aniPM au unaweza kuacha comment hapo chini, kama ni used ziwe katika condition nzuri pia bei iwe reasonable na itajwe kabisa
0 Reactions
8 Replies
928 Views
We are Professional Engineers Registered by the Board of Engineers of Tanzania. You might need a close supervision of your construction works and the fund available for the works. Working with...
0 Reactions
2 Replies
866 Views
Mombasa Marina records quick apartments sales
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom