Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
nahitaji modem ya tgo e303 fasta.... kama unayo nitumie sms 0688 06 10 10 tufanye biashara
0 Reactions
2 Replies
881 Views
Nauza htc legend yangu,ipo katika hali nzuri sana,pata charger,earphones,usb kwa 250,000Tshs nipo dar
0 Reactions
0 Replies
629 Views
Mwenye nacho,anaeweza nielekeza pakukipata naomba msaada. Mawasiliano 0712365531
0 Reactions
3 Replies
2K Views
natafuta sumsung galaxy tablet 2 au tab 3 original inayotumia sim card budget yangu ni 300,000 mwenye nayo ani pm au whatsap 0767251838 tufanye biashara.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nikon D3200. Inauzwa iko katika Hali nzuri sana bei Tsh 1200000.00 Contact 0712652110. Dar .Pia Kama Nahitaji camera video camera za aina yeyote wasiliana na mimi
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari! Nahitaji frame au office maeneo yafuataywo..! Msasani, makumbusho, mwenge, kijitonyama, mikocheni na sinza..! Mwenye kujua wapi zinapatikana, tafadhali nijulishe. Bei isizidi laki 2.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
natafuta toyota hiace iliyo kwenye hali nzuri. kama kuna mtu anayo aniambie bei anayouza. asante
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Maboki yanauzwa yapo pic 250 kwa atakae hitaji tafathali
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Simu tajwa hapo juu inauzwa ilishawai kuvunjika kioo nikaweka kingine na haina tatizo kama uko interest nicheck inakama miezi 5 hivi toka ninunue.
0 Reactions
1 Replies
953 Views
We are Professional Engineers Registered by the Board of Engineers of Tanzania. You might need a close supervision of your construction works and the fund available for the works. Working with...
0 Reactions
0 Replies
746 Views
Hallo Wana JF, Natafuta External HDD 1TB/2TB Iwe ni Mpya au Slightly Used. Brand Name Can be Transcend/Samsung/WD or any Good Brand. Badget Yangu ni Tsh80,000
0 Reactions
1 Replies
762 Views
simu used kwa wiki 3 ina internal memory 16gb ina dual camera. Ina run 4.1.1 jelly bean Tuwasiliane kwa 0717022737
0 Reactions
2 Replies
855 Views
Kama picha zinavyo onekana hapo juu bei 6.9 M.
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Baada ya ajira kuwa ngumu nimeamua kujikita kwenye biashara ya korosho Nauza kwa kg 1@ 15000/= nusu ni sh 8000/= napatikana kwenye no 0764167260 au unaweza kuni pm karibuni sana
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wahitaji na wenye kupendelea korosho zilizokwisha banguliwa zinapatikana kwa kilo 1 @ 15000/= weka order yako mapema namba yangu ni 0764167260
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hallo. Habari za kutwa. Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa. Napenda kuwajulisha wale wanaojenga kuwa kuna mabati ya migongo mipana yanauzwa. yapo kama mabati mia moja yana urefu wa mita tatu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nahitaji simu tajwa hapo juu, iwe inayo kubali line ya tigo tu na bei laki moja. Iwe powa yani kioo kisiwe na michubuko. Nipo Dar es salaam, mwenye nayo aniPM. Simu iwe na headphone chaja...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina 150,000/- natafuta cm aina ya Huawei ascend y300. Call 0713626027.
0 Reactions
1 Replies
777 Views
huawei ascend y300 imetumika kwa wiki 3 inauzwa kwa laki na nusu iko ful complete na box yake nicheki kwa 0717022737
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habar,natafuta gari toyota vitz ya kununua ya kuanzia mwaka 2004,,engine cc kuanzia 1000 kushuka chini.Anaeuza anichek 0759683016 niko dar
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom