Habari wanaJF,
Natafuta gari Toyota vitz ya kununua ya kuanzia mwaka 2004,,engine cc kuanzia 1000 kushuka chin,automatic.
Anaeuza anichek 0759683016 niko Dar.
IKO KITUNDA RELINI
1. Ina vyumba 3 vikubwa, Master bedroom, Kitchen ndogo, store ndogo, Sebule Kubwa, Dining nzuri
2. Iko fenced kwa kutumia tofali nzuri
3. Ina kiwanja kikubwa cha mita 25/30...
auto, rangi imerudiwa (repainted) imetembea km 151,000 T.... BNH , 2001YR, sana sana inampeleka kazini na kumrudisha, Ninauza kwa kuwa nataka kubadilisha gari. nimeagizia ingine na imekwama...
We offer all kinds of business associated with clearing and forwarding of goods at the port of Dar es salaam this being all types of vehicles, containers and loose cargo to any destination in...
kipo tankibovu (mbezibeach)na ukubwa wa 20mita kwa 20mita, mita 200 kutoka barabara kuu ya lami ya bagamoyo road na ni kama dakika tano hivi kwa mguu kutoka bagamoyo road. ni tambarare kimepakana...
GARI TOYATA GX 11O IKO KATIKA HALI NZURI INAUZWA BEI POA
MAELEZO ZAIDI
GARI GX 110
CC 1998
NUMBER T 109 BZW
RANGI YA SILVER
IMETEMBEA KM 169024
YA MWAKA 2000
BEI MAELEWANO
PIGA NUMBER 0785...
Nauza tablet hiyo, nimpya, imetumika wiki tatu. Imekuwa imported from abroad. Inakuja na charger na cover. Kuhusu bei maelewano yapo kidogo, kwa mawasiliano nichek at 0717301520, au pm
Habari za Mchana Wakuu..
Mm nina BlackBerry Bold 9780 (white in Colour) Haina Tatizo lolote & no Scratchez...nataka nibadilishane na m2 yoyote mwenye SmartPhone nzuri ambayo nayo haina...
Kipo maeneo ya Ichenjezya karibu na TAZARA, kimepimwa(surveyed) na hati ipo. Ukubwa ni 100 kwa 50 ft, bei ni maelewano.
Mawasiliano: 0786 358 524.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Ni Samsung NP300E5V-A06
Intel core i3 - 2.5 ghz
700GB HDD
4GB RAM
DvD rw
Bluetooth
Wifi
web cam
15'6 LED Screen
4 hrs batry
windows 7
bei 380,000/= Tshs
haina tatizo.
0716-844978
nichek...
Natafuta kiwanja nje kidogo ya mji wa dar ,isizidi km 25 toka mjini ,nataka kijisehemu cha kutosha kujenga vyumba walau vitano na sebule ,nina mil 2 je naweza kupata kwa hiyoo bei? wale wenye...
Sq 1100 metre 50 vipo viwili kwa pamoja
Eneo Mbutu kichangani
,, KIGAMBONI mbali na mradi wa BUSH,
Karibu kabisa na Bahari ,,, Eneo zuri Kwa kujenga Hotel, Kiwanja kina hati,,,, BEI MIL 75...
Wapendwa wanaforamu,
Kwa muda mrefu kumekuwepo na tetesi kuwa, 'KISWAHILI NI MTAJI'. Je wewe binafsi umeshazifanyia kazi 'tetesi' hizo? Kama ndiyo, hongera sana na itumie fursa uliyonayo kujiajiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.