Wapendwa wana JF,
Ninauza shamba langu lenye ukubwa wa heka moja na robo kwa ajili ya kifusi/kokoto vya kujengea barabara. Nilitaka kujenga hili eneo lakini bahati mbaya majirani zangu wamechimba...
We need a compang or agent who is good in ac and generators.our generators is from Italy known as Goff and Zordan.we need for servicing generators.assuring the equipment work perfectly.for more...
Natafuta kiwanja nje kidogo ya mji wa dar ,isizidi km 25 toka mjini ,nataka kijisehemu cha kutosha kujenga vyumba walau vitano na sebule ,nina mil 2 je naweza kupata kwa hiyoo bei? wale wenye...
Hello wana jamii, samahanini kea usumbufu, sijui kma ni jukwaa husika au laa, natafuta nyumb ya kupanga hapa dar, iwe kino,knyama mwenge mikocheni nk. Kodi iwe chini ya 150000 kwa mwezi.
Ni duka la nguo, Sinza mapambano.mwenye duka kapata uhamisho kikazi. Lina ac..kabati kubwa la alminium. Mlango mzuri wa kioo. Kwa anaetaka ani pm. Falame kwa mwezi ni laki moja tu!vitu vilivyomo...
Huawei Ideos inauzwa bei 120,000 tu ipo katika hali nzuri tu. Ni android phone inasupport watsapp,viber,youtube na makorokocho mengine ya kijanja.
kwa mawasiliano zaidi na picha nicheki kupitia...
Sixbrothers enterprises inawatangazia wananchi wote kuwa kuna tshirt (round & form six) za rangi zote zinauzwa kwa bei nafuu,pia kalenda za mwaka 2014 zinapatikana. Morogoro wacliana na afisa...
MODEL: PANASONIC PT-LB51U PROJECTOR
Projector hiyo hapo pichani inauzwa. Ni nzuri, nyepesi na ina display vizuri kwenye mazingira yoyote. Ina remote control, cables zote na begi lake la...
Kiwanja kipo kibaha lulanzi,karibu na shule ya msingi lulanzi na shule ya sekondari East coast
unashuka picha ya ndege unaingia ndani kidogo,
kipimo ni miguu 20 kwa 20
Bei:Tsh 2,000,000/=...
Wabari wana jf.?
Nauza cm aina ya nokia x2.01
ina whatsapp.queep:na operamin zote...haihitaji setting ya aina yeyote kwa upate wa internet yaani wewe ukiweka laini tu ya mtandao wowote ina...
Habari zenu wakuuu
chumba cha kupanga kinatafutwa kiwe maeneo ya kinondoni kwa mwenye taarifa zaidi anaweza kunipm bei ya chumba isizidi elfu 50 mazingira yawe tulivu kwa ajiri ya kuishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.