Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Viwanja vyenye meter 15.24 kwa meter 15.24 vinauzwa Chamazi, kila kiwanja kina angalia barabara, maji na umeme upo. Bei ni 7m, ni vyangu mwenyewe sio dalali mawasiliano kwa atakayetaka...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Galaxy s4 ime2mika mwez1 tu nimetoka nayo south africa bei 680,000 nipo mwananyamala dar contact 0764616353 serious bayer only
0 Reactions
0 Replies
719 Views
Habari, ninakija wangu nataka ajifunze lugha ya kiiengereza kwa ufasaha, sasa nilisikia kupitia Cloud radio kuna mwalimu anaitwa simba, kama kuna mtu ana taarifa zake anijuze au kama kunasehem...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nyumba inauzwa survey inavyumba vitano na vyoo viwili na sebule moja. ina eneo lenye ukubwa wa sq m 160. ina maji na umeme. zinaingia gar nne vizuri. ina fence na ni mpya. bei ni mil. 130...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hi wadau, nina shida na king'amuzi haraka ikiwezekana nipate leo, nko da es salaam, chochote kile ila local channels ziwepo
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ina webcam, processor/Ram 2GB, ina hard disk 350GB. Nimeitumia miezi 4 Tu. Bei ni Sh/350,000/= Ipo Dar Es Salaam Mwenye Kuhitaji, ni INBOX sasa hivi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Pata Flash/memorycards popote ulipo zikiwa na Biblia/Quran(MP3/AUDIO)
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau, Nauza Simu aina ya HUAWEI Y210D (Dual Sim/Double Line), na ina wiki moja tu toka niifungue kwenye box lake. Moja ya sifa zake ni kua unaweza ukaitumia kama Modem ya kawaida au "Wireless...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wadau habari za wakati huu. Nahitaji kununua mbwa lakini ningependelea awe kati ya moja wapo wa hizi breed - Pit bull - Rottweiler - Presa Canario Ntafurahi kama ntasaidiwa kujua mtu au kitengo...
0 Reactions
0 Replies
990 Views
iko katika hali nzuri sanaa... ina muonekano mzuri sana.. CC 2000 six Cylinders very comfortable car...kwa wale wanaozifahamu hizi ni mashahidi wangu.. Selling Price 4,500,000/= Kama...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wana jf, Natafuta nyumba ya chumba kimoja na sebule kwa maeneo ya Mwenge, Makumbusho, mbezi mbezi ya tangbovu hata africana(tegeta) si mbaya. Sifa: 1.Kiwe na choo ndani 2.Maji hapo hapo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
salam,gari yangu aina ya Toyota hiace long body ilipata ajali na body yake imechanika chanika,so naomba kama kuna mtu anafahamu ware house wanakoiza bodi anielekeze tafadhari asante
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajamvi, nina Samsung Galaxy S Duos, niliidondosha ikapasuka kioo, kwa hio touch screen haifanyi kazi tena. Wapi naweza kubadili kioo cha simu hii kwa Dar?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana JF haswaa wadada but na wakaka pia,naomba maelekezo alipo fundi anayesifika jijini Dar es salaam mtaalamu wa kushona mishono ya vitenge ambae sio mswahili wa njoo kesho njoo kesho kutwa.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habarini Mimi ni mtunzi wa nyimbo mbalimbali ziwe za kitamaduni, kidini, kitaaluma au ziwe za kupigwa kwenye hafla mbalimbali kama wewe unahitaji kutungiwa wimbo wowote kwenye sherehe, au...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kama nilivyosema hapo katika tittle hiyo ndiyo ofa yangu, simu iwe ni smartphone android( tecno m3, huawei y 300) na aina nyingine ila iwe ni version ya 4 na camera ya 5MP na kuendelea. kama ofa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Gari inauzwa iko kwenye hali nzuri. Bei 20mil
2 Reactions
11 Replies
2K Views
nipo lusaka kwenye tarehe 10 nitakuwa mbeya. walengwa hapo juu nina mashine 2 za kunyolea nywele moja orijino na hii nyingine ni zile za kawaida ila sifeki. nauza 70000 na 35000 anayetaka anijulishe
0 Reactions
2 Replies
936 Views
NEXT GENERATION ENT. CO LTD WALIOPO KATI YA MTAA WA LINDI/LIVINGSTONE, DAR-ES-SALAAM, TANZANIA NI WAUZAJI WA PRINTER ZA KISASA ZAIDI AINA YA HP PHOTOSMART C6180, C7200 PRINTER HII INA UWEZO...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Kiwanja kinauzwa kina ukubwa wa 30m×25m. kiwanja kipo salasala njia ya kwenda kinzugi karibu na "mnanga bar". Bei ni million 95, aliye tayari ani PM.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom