Gari HONDA CRV mpya kwa Tanzania, imetolewa bandarini tarehe 27/12/2013, lakini used kule Japan ninauza.
Picha zinaionyesha gari hiyo.
Km ilizotembea 78000 Japan.
Kwanini ninauza: Nimebadili nia...
Ninahitaji mkopo wa kama milioni moja(1ml) tu halafu nirudishe kila mwezi kama laki moja(100,000) au tutakavyokubaliana. Ninafanya kazi na tutaandikishiana kupitia kampuni yangu au/na mwanasheria...
ina vyumba 3 kimoja master.ina choo cha nje kimoja.ina jiko.luku ya peke yako.Maji kwa jirani.full tairs.
Bei laki mbili na nusu.
Mawasiliano.piga simu 0768811075.
Nyumba
ya kisasa ya Vyumba 3, dining, vyoo vya ndani, jiko, sebule
inapangishwa Kigamboni magogoni km 3 kutoka ferry. Kodi ni sh. 300,000 kwa
mwezi, miezi 6.
Nyingine ni Nyumba ya Vyumba...
kwa wale wanaopenda drifting kaz kwenu,alteza hii ina gear7,speed 240. engine cc yake ni 1962, ni model ya mwaka 1999. serious buyers wanicheki kwa 0719
Inaweek moja tangu niifungue kwenye box lake,inakubal line ya tigo pekee,
Simu inakuja ikiwa full(+bettry+USB cable+charger+eaphone)
Being 140000
contact :0655674747....nipo kinondon DSM
Kwa...
Mimi ni muuzaji wa spea za magari na ni fundi wa magari, kwa sasa sina duka ila nafahamu sehemu nyingi ambazo zinauza spea aina tofauti za magari na nazijua aina nyingi za spea, hivyo...
Hello Ladies .....
Jipatie handbag Fashion (rangi za google) kwa bei rahisi sh 45 elf.
Please pepesa macho angalia rangi inakufaa/ matchisha na pamba zako and you will be looking blistering...
Wadau.. heshima mbele
naomba kufahamu bei ya soko kwa ekari moja ya ardhi ambayo haijapimwa ina ina hati ya mauziano... Morogoro-Kingolwira, upande wa Manispaa na umbali wa Km 2 toka barabara kuu...
Wadau nijuzeni kuhusu biashara ya electronic zanzibar iko aje na where to start... halafu mie nshazoea Dar full kula bata.. ila huku hata beer sijaona hata sehemu moja hata hotel niliopo ni maji...
2003
1980cc
105000km
Gari bado mpya
Sport rims
TV/Radio
New tyres
Haina tatizo lolote
Bei 8mil
Plate no. CDK
0716398757
Serious buyers only maana siku watu wa mizaa wamekua wengi.
Nimeitumia mizie minne tu! Ina portable cd/dvd writer ina uwezo wa kukaa na charge masaa 2:45hrs, ram/ processor 2gb... Hard disk 350gb na webcab... Tuwasiliane ahara kwa mwenye kuhitaji (0784...
Green Vision is offering security products for your premises ranging from electric fence, sensors, CCTV, Auto Gate, electric beam and many more at a good cost price and installation is done any...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.