Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wana JF habari zenu,kiwanja kinauzwa kipo makongo juu karibu na kanisa katoliki pia karibu na barabara na kina ukubwa wa 23 kwa 25 . kwa ukubwa wake unaweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello, ninashida na kioo cha simu husika, simu yangu ni mpya kimuonekano ila bahati mbaya imeangukia kioo, kama unacho pls tuongee,naomba ofa tafadhari. Nipo Dsm. 0688 65 8292
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Je unahitaji nembo au logo itakayoweza kuwakilisha biashara yako mahali popote pale.Basi wasiliana nami ili uweze kupata logo iliyo simple na yenye uwezo wa kuwakilisha biashara yako mahali popote...
0 Reactions
5 Replies
837 Views
viwanja vinauzwa chamazi, kila kiwanja kina barabara, umeme upo jirani, maji pia yanapatikana kwa urahisi. Ukubwa ni ft 50 kwa 50 sawa na meter 15.24 kwa meter 15.24. Bei ni 7m. Vipo 6 ukitaka...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
brand new samsung led tv 46F serials 5 in box @ 2,000,000. smart 46f5500@ 2,300,000. +255718268969
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Iko powa,kila kitu safi charger yake,headphone,white in color. Bei laki tano tuu. Mawasiliano:0715812160/0764452424
0 Reactions
0 Replies
811 Views
Wapendwa wana JF, Tumefungua workshop mpya maeneo ya Toangoma along Kigamboni Road ,NDANDA ALUMINIUM AND GLASS WORKS,pia tuna fanya Metal fabrication and electrical work.Ni muungano wa mafundi...
0 Reactions
0 Replies
854 Views
Nd wanaJF natafuta m2 (artist) wa kuscetch image au sura yangu Kuna wakati alikuwa pale Karume siju amehamia wapi! Natamani kama nikimpata the best artist wa kuchora sura ya mtu na ikatokea...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
This is a unique property exhibition ever happened in Tanzania. The event will feature top brands in the real estate (Property) sub sector, that include but not limited to: Real estate...
0 Reactions
0 Replies
933 Views
Wakuu ninauza simu za Nokia Lumia 800 in new condition complete na accessories zote (boxed) . Hixi simu ni kutoka UK bei 410000 kila moja nina rangi nyeusi , white na blue. Nambs yng 0714 674687...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Hey friends, Niko hapa kuwajulisha kuwa naunlock simu za blackberry na iPhone na uweze kutumia mitandao yote. Tuwasiliane kupitia namba yangu 0655-003510 au 0753196849 Asanteni na Karibuni. Sent...
0 Reactions
2 Replies
725 Views
Habari wana JF.Kwa wale wanaohitaji mikopo midogo ya haraka inatolewa kuanzia 500,000 mpaka 3,000,000. Dhamana ni muhimu.Kuanzia milioni moja dhamana ni gari. Malipo ni kwa mwezi mmoja tu...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Ndugu zangu wapendwa, Ninao unyenyekevu sana kumshukuru Mungu baba kwa ajili yenu, bila shaka wazima kabisa, Naomba msaada, hivi gari ya Noah/voxy yenye CIF ($2700) to Dar port ni shilingi ngapi...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Natafuta NAS server at least ya 2 -bay, mpya.yenye features nzuri za kutosha. ukiweza kupata na hard disk at least ya 3TB itakuwa vizuri zaidi. nicheki kwenye 0754484110. NB: iwe ni brand...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta friji ndogo ya kununua hapa Dsm, iwe nzima isiyo na tatizo lolote, ofa yangu ni sh. 100,000/= . Alie nayo ani PM tufanye biashara.
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Looking for used but full boxed Note 3 or iPhone 5s GOLD Call, 0712868178 Don't comment anything here just call..
0 Reactions
3 Replies
893 Views
Mzigo huo hapo mpya kabisa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wakuu,naombeni mnisaidie kuniambia vyuo vinavyofunguliwa hapa nchini...
0 Reactions
0 Replies
931 Views
Jipatie Oil ya SYNTHETIC,Oil ya kisasa kwa magari model za killeo Oil hii itakupa km 15,000 za Mileage kab la ya kufanya service tena ukilinganisha na oil ziendazo kilomita 3,000 Utaokoa...
2 Reactions
35 Replies
6K Views
Habari zenu.? Naomba kujua na kupata mawasiliano kwa kampuni yeyote inayojishughulisha na usafirishaji wa mizigo toka nchini Russia. Ninahitaji kusafirisha mahema kama 5-10,pia na sleeping bags...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom