Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
16gb,color;Gray ,almost new;bei 1.3mili With sim Card ,unlocked
0 Reactions
0 Replies
909 Views
Natafuta 0718118811
0 Reactions
0 Replies
661 Views
Natafuta incubater
0 Reactions
0 Replies
514 Views
Heshima kwenu wakuu nauza simu yangu nokia asha 302,black colour ipo kwenye hali nzuri mwenye kuhitaji anicheki kwenye na 071406130,hapa nilipo ndipo naitumia so nashindwa kuweka link muweze...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu kuna kiwanja kinauzwa kigamboni Mwasonga. Ni Jirani na dsm zoo. Ukubwa wake ni nusu heka. Mchaga wa kujengea unapatikana hapo hapo kwenye kiwanja. Kaupepo ka baharini safi kanapatikana. Kina...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ipo katika hali nzuri Milleage 75000kms Imported :june 2013 Bei: 12 mil (MAELEWANO YAPO) Gari lipo Dar-es-salaam Number- T *** C*K Waweza kuja likagua muda wowote na fundi Contact ...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hallo Wana JF, Natumaini kichwa cha habari kinajieleze vizuri. Nnahitaji External HDD Mpya yenyr ukubwa wa 2TB Brand name Ningependelea TOSHIBA/WD/SAMSUNG/TRANSCEND. Mwenye nayo tafadhali...
0 Reactions
2 Replies
853 Views
Ndugu wanaJF kwa yeyote mwenye Laptop ambayo ameiweka tu Ndani haitumii ama kwakuwa ana zaidi ya moja au hata Desktop lkn iwe inafanya kazi vizuri(namaanisha uwezo) kwa kiasi cha 200,000/=tu
0 Reactions
5 Replies
1K Views
nakushukur mungu kwa kunipa afya njema, natumaini uko poa!!mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22. Nina mwaka sasa tangu niishi bila ajira yeyote na sina pesa ya kuweza kujiajiri naomba unisaidie...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari! Mimi ni kijana umri wa miaka 21 nahitaji/napenda kujiunga na jeshi la nchi, yoyote mwenye moyo wa kunisaidia anisaidie, coz nilikosa nafasi mwezi wa kwanza 2014, mtaani sina ajira yoyote
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Gx110 ipo sokoni rangi ni white pearl ipo katika hali nzuri engine 1980cc transmition ni automatic ipo katika hali nzuri haina tatizo lolote mwenye kuhitaji fika sinza mapambano utaiyona, bei ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naflash simu aina zote za android kwa tsh.5000 tu.ntafte simu namba 0768787838.online 24/7. Tuma sms au nibip/piga.napatikana magomeni na kgogo
0 Reactions
0 Replies
687 Views
Simu tajwa hapo juu ni used kwa miezi minne lakini bado ipo vizuri,internal memory 8Gb ni window 7,nimeshindwa ku-upload picha.kwa sifa zingine unaweza kuitafuta google
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Q&A sessions for those who don't want to attend full review classes will start
0 Reactions
0 Replies
855 Views
Wakuu. hebu nisaidieni. nina Mitsubish GDI nimenunua kama mwezi mmoja uliyopita. I ordered the car from Japan Direct. Sijanunua lilochakachuliwa hapa Bongo! shida yangu ni kwamba sometemes hii...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Km unayo ni PM tufanye biznesa
0 Reactions
0 Replies
862 Views
INAKUAJE WANA JF..!! Natafuta simu ya ukweli ambayo ipo kwenye hali nzuri.! Na iwe android.. Amount yangu ni 100,000/=. Hyo ndo amound yangu....! My number 0785673240
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Samsung galax3 clone gt 19300 Android version 4.1.9 internet 3g space 16gb na ina memory card 2gb betri zipo 2 bado mpya nabox lake maelewano yapo nime itangaza pia katika blog ya inauzwa.com...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Are you or your business located in Iringa,Mafinga,Makambako,Njombe or Mbeya? If the answer to the question above is "Yes", you can contact me for IT support and consultation. We work as...
0 Reactions
0 Replies
682 Views
Nahitaji used flat screen TV 28 inch au zaidi, iliyo katika hali nzuri, kama unayo ni PM au contact me through 0752145388
0 Reactions
0 Replies
823 Views
Back
Top Bottom