Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Viwanja na mashamba vinauzwa. MAENEO: mkoa wa wa Pwani, unateremka Vikindu. Kwa kutokea Kongowe unaingia upande wa kushoto mpaka kijijini Kazole. BEI: kiwanja cha nyumba mita 20 kwa 15...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
samahani wakubwa ka yeyote aliyewahi kununua product yoyote E-BAY na akaipokea hapa bongo naomba anipe utaratibu kuhusu shipping method na wapi pa kupokelea na nama ya kulipia bidhaa
0 Reactions
0 Replies
866 Views
Nanunua simu kwa bei tajwa hapo juu, iwe smartphone ya android brand yoyote au nokia,kasi kwenye mambo ya internet bila kusahau WhatsApp,hata kama ni used lakini isiwe imechoka,zingatia kuwa...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Mwenye nayo fasta kwa bei hyo
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Jaman habari ya kaz? Nilitegemea kusafiri tar tajwa hapo juu lakin kutokana nasababu zisizo zuilika naiuza ticket hii,0689544343
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Natafuta nyumba ya kupanga kuanzia chumba kimoja na subure na jiko na Choo hapa Mbeya jijini. Iwe panapofikika. Contact 0715696920 or inbox. Immediately
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Asus laptop 2.1ghz, 2 gb ram, 300gb hdd, haikai na charge zaid ya nusu saa inauzwa kwa 280000.
0 Reactions
5 Replies
952 Views
Habari za mihangaiko wakuu. Mimi ni kijana mwezenu nawakaribisha sana katika duka langu lililopo maeneo ya magomeni morocco (morroco hotel) nashughulika na kuuza spea za pikipiki, oil zote, kujaza...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
habari wote, From:Professional Pest Control Tanzania Limited Napenda kuwafahamisha kwamba ,kampuni yetu inafanya shughuli za kupulizia wadudu/fumigation kwa wadudu wa kila aina ,majumbani na...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Habari wana JF. Heshima kwenu wakuu. Nimehamia Arusha Toka juzi Ila nimekuwa nikilala Lodge Kutokana na kuwa nitakuwa nafanya kazi huku kwa muda wa miezi sita nahitaji chumba ili kupunguza gharama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana jamvi , nauza ideos huawei bei 100,000/=(Negotiable) ipo poa na internet ni 3G, if you need it just pm me your number so that we can do buznes.
0 Reactions
3 Replies
920 Views
Nahitaji gari RAV4 ambalo liko vizuri kwa ajiri ya kukodi kwa mizunguko ya hapa mjini Dar es Salaam.Malipo ni kwa mwezi.Mwenye gari hilo anitafute in box ama kwa namba 0754 053496.Tuwasiliane.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Bajeti yangu 20,000
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wapendwa wanajamii bawaletea kwenu asali mbichi kutoka tabora 1 Lita 12000 kwa watakao hitaji jijini dare es salaam.
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Jamani ndugu zangu habari za majukumu jamani naomba mnisaidie namba za Mheshimiwa Edward Lowassa nazihitaji sana
0 Reactions
2 Replies
7K Views
mimi ni mwanamke wa miaka 24.natafuta kazi ya kuuza duka la nguo au vipodozi kwa yeyote mwenye kuhitaj,nikifanikiwa nitafanya kazi kwa moyo na uaminifu.nipo dar
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Nyumba ya vyumba viwili vyoo viwili, inapangishwa kwa laki nne (400,000) kwa mwezi. Kuna ukuta so usalama ni mzuri tu. Jibu hapa kama uko unahitaji au nitumie pm. Ahsante!
0 Reactions
0 Replies
913 Views
Habari zenu wana jamvi! Naitaji samsung galaxy S2 kwa 250000/= iwe katika hali nzuri bila tatizo lolote.Nipo dar kwa alie nayo ani pm tufanye biashara.
0 Reactions
1 Replies
984 Views
Wasiliana nami kwa namba 0713109099/0758109099
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta mashine ya kukamulia juisi ya Muwa mwenye nayo au ndugu yake anayo au anajua zinapatikana wapi tuwasiliane. Nipo Mikumi Kilosa
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom