Nyumba ya kupanga inahitajika haraka. Iwe maeneo ya Mwenge, Kijitonyama, Sinza, Makumbusho au Makongo.
Vyumba viwili hadi vitatu vya kulala na iwe na uzio unaojiyegemea. Kodi kati ya 250,000/=...
Year: 2002
Km: 121,000
Engine capacity: 1988cc
Very good condition working well
Full a/c
Radio AM/FM
CD player
Autolocking system
Bei 5.9mil
0716398757
Serious buyers
habari zenu wadau nauza mbao bei ni nzuri bidhaa ina ridhisha na muda unazingatiwa sana kwangu karibuni napatikana iringa mafinga, kwa mawasiliano zaidi utaliijackson@yahoo.com
ay...
Wakuu naombeni msaada wenu hv ni kweli samsung galaxy S4 Clone inafanana original kila kitu? hata uwezo wa net? na je kati ya nokia lumia 820 na hiyo clone ipi bora?
Kuna nyumba zinapangishwa mbezi beach.
Kuna nyumba yenye vyumba 2, sebure dinning, choo na jiko la nje etc
NB: Kukupeleka kuona sh. elfu kumi.
Call or txt 0656063933
habari ya leo wakuu.
Tovuti ya Global Adverts » http://www.globaladverts.biz inauzwa
inahusika na kuuza na kununua bidhaa...
sababu ya kuuza: kukosa usimamizi
kwa bei na maelezo zaidi ni...
Ni dell, latitude D 620. RAM GB 1 plus nyingine ya MB 512, HD GB 80, Battery masaa 3+, ipo katika hali nzuri.
Nina shida ya pesa kwa sasa, naiuza kwa 300,000/= tu!
Habari wana jf
1. Kwa wale wenye matatizo ya uzazi (kutopata mtoto). Kama ulishawahi kupata mtoto mmoja na inashindikana kupata wa pili, pia kwa wale ambao wanashindwa kupata ujauzito kama...
Habari za majukumu wanaJF,
Ninauza vitu vya ndani vifuatavyo ambavyo vipo MWANZA, MABATINI:
Kitanda cha 5" * 6" (cha mbao ya mninga) na godoro lake la Tanfoam - 230,000/=
Makochi mawili, La...
Ni pm for price na more information
Nimejaribu kuweka picha zinagoma, Kwahiyo ni pm kwa picha na maelezo zaidi 2006 HUMMER H3,49000 MILES
REAR SEAT DVD, AUTOMATIC
Natafuta fremu maeneo ya Tabata, isiwe mbali na Tabata Relini au Tabata Mwanachi. Nina maana isiwe mbali na Barabara kuu ya Mandela.
- Fremu iwe Kubwa kama zile zinazoitwa 2 in 1 - (Futi 20 kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.