Galaxy S4 clone mpya pieces za kutosha, zipo kwenye box na accessories zake zote: Charger, earphones na usb cable,
price: 350,000/= Tsh
Nicheki PM au contact 0716683434
kama una laptop aina ya DELL 630 au 620 ilikufa display, housing au kwa vyovyote, lakini mother board yake ni nzima na uko tayari kuuza nichek kwa PM au sms 0686822006. ukiwa Dar, Moro, Iringa...
Printer aina ya canon naiuza ni mult purpose inaprint coloured inatoa photocopy na inascan. Naiuza kwani nasafiri na haijatumika sana bei 120000/= 0715696920
Kiwanja kipo Kihonda Morogoro kina offer. Ukubwa 600sq mita , huduma ya maji umeme ipo kimepimwa karibu na barabara. Bei maelewano, nipigie 0715500248. Au 0756171831
Hebu tusaidiane.
Ile fursa ya kuongeza pato lako kupitia Perfect App inakaribia mwisho. Jiunge mapema kabla ya Februari 28 kwa kubofya/kufuata "link" ifuatayo:
The Perfect App
Isitoshe...
Husika hapo juu, natafta Chumba Master na Sebule maeneo hayo offer yangu 150,000 kwa mwezi. Ikipatika Master pekee pia sio mbaya offer haisizidi 100,000. Terms ni miezi 6 zote ikizidi sanaaa 8, ni...
Chumba na sitting room vinapangishwa kigamboni .umbali wa dk 15 kutoka ferry .kuna maji .vyumba vipo vizuri sana.
Pia kuna chumba.sitting room na choo,kuna fence na maji yapo kama dk 18dk to ferry...
Habari wakuu, anahitaji mtu mwenye uzoefu wa kutosha katika kazi za butcher, butcher Iko kinondoni.per day sh 7,000.Kama kuna mdau yeyote anamtu anamfahamu mwenye uzoefu na hii kazi na anatafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.