Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wakuu salama ? kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia nikapata luku yangu ya kujitegemea ili kuepuka mzozo wa kuchangia kulipa umeme, sisi tuko jengo moja hapa kariakoo lenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ps2 inauzwa inatumia flash unapata na pad zake mbili!!!! n 130000 nko dodoma!! for more informatiion ni pm o call me 0654434509
0 Reactions
2 Replies
895 Views
habar ya weekend wapendwa. me nahtaj king'amuz cha startimes kwa bei tajwa (40000/=Tshs). mwenye nacho anipm au 0782701288 npo dar.
0 Reactions
2 Replies
829 Views
Hey wadau nna iphone 4 nahitaji ku unlockiwa..!! Kama wewe n mjuzi na mtaalam au unajua wap wana unlock kwa bei poa nitext namb yang n 0653 457659 Thanks Daima jamii forum
0 Reactions
1 Replies
775 Views
Nauza BlackBerry Bold 9780...white in colour,haina tatizo lolote...!! #it z still in good condition,with no Scratchez...!! »For Serious Buyers u can PM me...!! »Price; 200,000/=Tsh
1 Reactions
0 Replies
748 Views
HUAWEI ASCEND Y300 WCDMA Mobile Phone 4.0-inch WVGA 16M TFT Capacitive Touch Screen 5.0MP Camera with Autofocus and Flash Dual-core 1.0Ghz CPU AndroidTM OS 4.1 HSPA/WCDMA Fast Boot. Utapewa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakuu natafuta simu ya android ya bei hyo nlio taja...mweny nayo aseme ni aina gan anayo.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuku wa kisasa wa nyama (Broilers) wanapatikana Mwanakijiji Poultry Farm kwa bei nafuu. Kwa mawasiliano piga 0755 57 57 57
0 Reactions
1 Replies
992 Views
Natafuta mtu wa kunikabiz gari aina ya noah niigie nae mkataba hata kama chini ya Mwanasheria,kwa hesabu ya elf Tsh. 30000/: kwa kila siku. Kazi yake nikuibebea na kusambazia vifaa vya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau wa arusha natafuta nyumba ya kupanga hasa maeneo ya njiro au kijenge mwanzo mwanzo.offer yangu ni 150,000 mpaka 200,000.zaidi ya hapo itategemea vigezo maalum kama muda mfupi wa kulipa pango...
0 Reactions
0 Replies
808 Views
Nina htc 7 trophy window phone...kama una android nzuri tuongee...tubadirishane nikuongeze na hela....0764731318
0 Reactions
1 Replies
811 Views
Aina fujifilm, 1omp used, nakupa ofa na pochi ya kubebea, na memory card 2gb. Call 0768799078
1 Reactions
6 Replies
951 Views
Natafuta wale wanaouza ilozeeka kwa sjili ya spea hata kama imekwanguka kiyoo ina matatizo kusika.lakini iwe bado inawaka tu. 0715 696920
0 Reactions
4 Replies
898 Views
aliyetayari tubadilishane cmu, nitakupa galaxy mini na kiasi cha pesa 50,000. NOTE: cmu iwe na uwezo zaidi ya hyo yangu. twende kazi..
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari,ninauza na kuagiza Magari kutoka Japan Kwa bei nzuri,karibuni sana sana,na hata ukiona gari unataka nikuaagizie au nikushauri karibun sana...0719 717555
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Blackberry ipo poa haina tatizo.bei maelewano,txt:0656063933
0 Reactions
4 Replies
951 Views
Mwenye ufahamu anijuze tafadhali
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nauza samsung galaxy mini pocket bei 120 imetumika wiki 2 tu.nicheki kwa 0718049437
0 Reactions
2 Replies
672 Views
Aina dell, hdd 80, ram 512, batery hrs 2hours, ina programme zote muhimu. Call 0768799078
1 Reactions
3 Replies
943 Views
Natafuta kazi ya Graphics Design,ni mzoefu sana kwenye shughuli hii,nimefanya kazi nyingi za Graphics kama kudesign artworks kwa ajili ya mabango(Billboards),CD/DVD covers,Logos,etc hivyo nna...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom