Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Jaman kwa yule anaetaka kutembelea usafiri au kufanyia biashara nauza gari yangu aina ya funcargo, ipo katika hali nzuri sana, nauza sababu ninazo mbili, gari kwa sasa ipo iringa.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu mwenye lumia 820 nahitaji aniuzie,mwenyenayo ani pm
0 Reactions
2 Replies
665 Views
zamani tulikuwa na noti ya sh 100 naitafuta sana najua itakuwa imechakaa sio mbaya isiwe imechanika iwe katika hali nzuri.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nahitaji min laptop brand yoyote,iwe ni touch screen,iwe na port ya HDMI,Iwe na webcam, ukubwa 350 gb 2gb Ram,aliye nayo ani pm
0 Reactions
0 Replies
556 Views
nitazipata wapi modem za ttcl mpya.
0 Reactions
4 Replies
907 Views
Hi everybody, Connect your distant premises, Have your bussines / resident places linked to one another. Share your electronic / digital data to distant places. All these get enhanced using point...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habari wote, From:Professional Pest Control Tanzania Limited Napenda kuwafahamisha kwamba ,kampuni yetu inafanya shughuli za kupulizia wadudu/fumigation kwa wadudu wa kila aina ,majumbani na...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Tunauza cable zitakazo kuwezesha kuunganisha laptop yako kwenye tv ili uweze kutizama muvi kwenye screen kubwa,tv inayoweza kuunganishwa ni yoyote iwe ya chogo au flat,ipo cable maalumu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna ndugu zetu wa IT walikuwa na utalaam wa kuunganisha, internet Unlimited sh 10,000 kwa mwezi,yaani mtu unapiga mnyonyo mwezi mzima, kitambo sasa sioni matangazo yao kwenye jukwaa, wajitokeze...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nyumba inauzwa kubamba , ina vyumba vitatu na kimoja selfcontainer , sebule ,kiwanja chake kimepimwa na kina hati miliki, ipo umbali wa meta 500 toka barabara morogoro road , kuna barabara mpaka...
0 Reactions
2 Replies
928 Views
Habari... Wadau natafuta chumba na sebule mitaa ya survey, mwenge au mikocheni maana nafanyia kazi mitaa hiyo... Bei ya pango ya nyumba nitakayoimudu ni kati ya tsh.80,000-120,000/= kwa mwezi...
0 Reactions
0 Replies
882 Views
Ndugu zsko heri ya nwaka mpya,Namshujuru Mungu nimevuka salama,Nawaomba saana kwa kina anaeelewa kwa ujumla gari aina ya Suzuki Aeriol na Toyota Raum,kwa maana ya oil consuption,spare parts...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari Nimeamua kuuza shamba langu ,maelezo kuhusu shamba ni kama ifuatavyo. ukubwa:hekari 30,linauzwa lote kwa pamoja na sio vipande eneo:wami dakawa,karibu kabisa na ranch ya mzee mwinyi...
1 Reactions
0 Replies
817 Views
Ni used lakini zipo kwenye hali nzuri. Nokia E71 Tsh 120,000= Huawei Ascend Y200 Tsh 140,000= SIFA ZAKE NA PICHA UNAWEZA KU-GOOGLE Maana natumia simu nimeshindwa kuweka. ni Pm au Nicheki hapa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Simu tajwa hapo juu inauzwa,Haina hata wiki toka itoke dukani,sababu ya kuuza nimepata simu nyingine,ni andoid 2.3.5 WhatsApp,Instagram,na mambo mengine mengi yapo poa,unaweza kui-google pia,simu...
0 Reactions
1 Replies
928 Views
Nauza cm hiyo hapo juu ni used bt iko ktk hali nzuri. Plz ni PM niko Arusha
0 Reactions
0 Replies
718 Views
TANGAZO TANGAZO Pikipiki ya miguu mitatu (maarufu kama bajaji) aina ya tvs king (rangi ya blue) inauzwa. Imetumika kwa mwaka 1, iko katika hali nzuri. Bei ni Tsh 3,000,000. Kwa maelezo...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nauza samsung galaxy s duos bei laki 2 tu.kama utahitaji nipm tufanye biashara niko dar.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
190,000 nahitaji monitor Led backlight iwe na input port zaidi ya moja namaanisha VGA, DVI na ikiwezekana hdmi.
0 Reactions
0 Replies
623 Views
Betri imeisha kabisa ukiichagi inaonesha alama x kwenye ile alama ya betri,sensor imestuck na housing imechoka sana. Ukimeo wake ni huo tu. Unaweza kuitengeneza na kuitumia vizuri tu. Haya nipeni...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Back
Top Bottom