Wadau JF,
Natafuta msichana/mama wa kulea mwanangu(Lengo ni kumuandaa MTOTO ana umri wa miaka 4 kwa ajili ya shule anasoma Chekechea Tanga School,kumsindika shule na kwenda kumchukua shule saa...
Wadau heshima yenu...nahitaji mashine ya kufyatulia tofali za block USED ni bora kwangu
kwa ofa nzuri. na hata kama kuna vibao vyake tutaelewana...nipo Dar
asanteni
Wakuu nina Chumba kimoja na kakorido hivi napangisha (sio self) Gharama ni nafuu kabisa tsh 600000 (laki sita tu) kwa Mwaka
Nyumba iko jarani kabs na huduma muhim Nyuma inapakana na Zahanati...
najua humu tumeachwa watabe na wana ICT wamehamia mashariki ya mbali ambako wengne ni ngum kufika ila kipoint changu ni kwamba hata sisi huku seblen tuendelee kujadili tu na haya mambo ya pd na TG...
Nauza line ya wakala wa MPESA, zipo sim card zote mbili (Management na Till) zinatumika hadi sasa. Bei ni laki na nusu (150,000/=). Mwenye kuhitaji anitafute, nitumie pm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.