Ndugu wana JF,
Nimehama kikazi toka Arusha kuja Dar, na kwa sasa natafuta namna ya kuhamisha mizigo( Vitu vyangu vya ndani) kutoka Arusha kuvileta Dar. Nisingependa kuviuza, kwani kuuza nitauza...
Habari za Asubuhi Wakuu...Natafuta Mdoli wa kununu aina ya TED BEAR,ni wapi maeneo haya ya dar-es-salaam kuna duka linauza midoli hiyoo au kuna mtu yoyote anaweza kunisaidia nikapata mdoli wa aina...
Jamani, msinichoke,
Naanza kuwekeza rasmi (I am taking risk).
Naomba kujua hivi vi-pick ups vidogo vidogo sijui vinaitwa SUZUKI CARRY, HIJET n.k vinauzwa bei gani?
Showroom ni bei gani na ni...
Habari zenu wadau wa jukwaa hili simu tajwa hapo juu inauzwa kwa bei ambayo ina lenga kumsaidia hata mtu mwenye kipato kidogo. Simu iko katika hari nzuri kwani imetumika miezi miwili tu na sababu...
For filtration solution, parts and oil please visit: Tracto Co. (Tanzania) Ltd
For Heavy equipment hiring visit: KukuNzito |
We are in the business of supplying fleetguard filters...
Kama ungepata fursa ya kulipwa kwa kila lisaa ulilolitumia kwa kuja hapa JF au kwenye mtandao mwingine wowote ule na kwa kila saa la watu uliowaalika kwa miongo mitano kwenda chini kwa kupakua App...
Habari wakuu....Kwa anaye fahamu ni wap nitapata PS2 used na kwa bei rahisi tafadhali naomba kujuzwa..Nina mpango wa kununua kama 4 hivi..Then na TV(video) za inchi 21" wap naweza pata hivyo vitu...
Kama una Galax pocke imezeeka na kuchakaa unaidespose basi nanunua lakini iwe inawaka hata kama haisikii vizuri iwe inawaka isiwe bovu kabisa hata kama imekwaruza screen haina taabu kuna kifaa tu...
Wadau nauza simu aina ya Sony Xperia imetumika mwezi mmoja tu na nimeinunulia sweden bei Tshs 750,000/=
Specification kama ifuatavyo
GENERAL
2G Network
GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 - C6602...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.