Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wadau naomba kueleweshwa Kuhusu hii gari Mitsubishi Chariot Glandis FOB ni $536 na CIF ni $1754. Je mpaka niitoe bandarini itanigharimu kiasi gani? Je ukubwa wa CC una effects kwa Fuel...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza perfumes za like kwa be I rahisi, original genuine/money back guarantee! On their authenticity. 1. Beyonce heat, 100mls 2.Glow by JLO 100mls 3. Roberto Cavalli ... serpent 100mls Hizi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nina swift la 2004, lipo kwenye hali nzuri anatumia wife. Nataka kubadilishana na mtu mwenye IST namwongezea na 1.5million. IST=Swift+1.5mil. Kwa Mawasiliano ani PM
0 Reactions
8 Replies
1K Views
660Cc Zote mbili kilometa chini ya 100000km Mwaka 1995 Hazina no. Bado Moja ya mchanga nyingine ya kawaida Bei 8mil na nyingine 9mil 0716398757
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, HERI YA X-MAS NA MWAKA MPYA! Naomba kujua taratibu na gharama za kufunga umeme. Eneo linahitaji kama nguzo 3 tu za umeme.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salaam, Wakuu wapi naweza kupata soko kwa ajili ya kuuza bata mzinga?kwa sasa wapo Moshi ila bado si tatizo kubwa sana kama ntapata soko Dar.
0 Reactions
24 Replies
15K Views
Habari wana jamii kwa wanaohitaji asali ya Tabora wasiliana na Yusuph 0787115911 inapatikana kwa wingi
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu... Nyumba inauzwa iko chanika masantula, Ina vyumba vitatu,choo cha ndani,dainingi,na sehem inayotosha kuweka parking ya gari, Simu kwa anayehitaji tu. 0718769098 Bei 25 milioni, mazungumzo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nahitiaji Toyota Land cruiser Hard Top 78 Model kuanzia 2002-2006
0 Reactions
0 Replies
900 Views
Wadau nimepata uhamisho kikazi kuhamia Mwanza sina matarajio ya kurudi kuishi Dar tena,hivyo nimeamua kuvipiga bei vitu vifuatavyo maana gharama ya kuvisafirisha imenishinda: 1. Kitanda...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
habari wakuu nataka nfanye kati ya hzi biashara sasa,nataka kuuliza faida yake inapikanaje i mean how you get profit on this???
0 Reactions
0 Replies
963 Views
nauza galaxy tab 2 ..10.1 inchez... bei 700. old 1 month..full box.. for serious buyer..whatsapp mi 0767879784
0 Reactions
19 Replies
1K Views
..wadau ambaye anaweza kunipa gari lenye hali nzuri. Sisiwe limechongwa engene wala kupata ajali. Usi P.M mpaka ukubali kama unayo na uweke picha.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
hello i have a photo studio and i need photo albums and frames za kununua za aina tofauti tofauti anayejua wapi naweza kupata nitashukuru sana. mwenye kujua nitashukuru akinijuza kupitia hapa au...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
msahada wakuu, nahitaji hii printer, 'epson p50' kwa aliye siriazi anicheki 0757157725 nipo arusha. Ahsanteni
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jipatie Epson printer iliyounganishwa na wino wa nje kwa sh. 300,000/= wahi kabla mzigo haujaisha. Print picha na documents za rangi bila hofu ya gharama za wino.
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Q Mobile has just recently launched out with their brand new Qmobile Noir Quatro Z3 Vs Qmobile Noir Quatro Z4. Well this has been not the very first time that Qmobile has introduced such splendid...
0 Reactions
0 Replies
826 Views
hello jamii forums members naitaji kanga wa kufuga wenye anauza anijuze kwa kuni PM.
0 Reactions
0 Replies
944 Views
Napenda kuwajulisha kwamba asali mbichi kutoka mkoa wa Katavi inapatikana kwa wingi, bei ni Tsh 200,000/- kwa lita 20. Inauzwa kwa jumla na bei inazungumzika. Kwa anayehitaji tafadhali ni-pm...
0 Reactions
0 Replies
787 Views
samsng galaxy win inauza, ni mpyaaaa tatizo lake inatumia micro sim card, sijaipenda kwa hilo call me kama upo intrested 0779420000
0 Reactions
5 Replies
896 Views
Back
Top Bottom