Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Shamba linauzwa lenye ukubwa ekari 45 maeneo ya USA King'ori kila ekari kwa shilingi Milioni 15, kilometa mbili kuingia kwenye eneo kutoka barabara ya moshi arusha. 0755033997
0 Reactions
0 Replies
1K Views
cm ndio ninayoitumia haina tatizo lolote inakaa na chaji siku mbili na ina kila kitu mpaka memory card kwa mawasiliano nicheki 0653 957095
0 Reactions
5 Replies
898 Views
habari zenu wana jf,naomba mwenye ujuzi katika masuala ya lubricants[oil]anipatie elimu ktk sector hii.lubricants zenye masoko,masuala ya ushuru n.k.natanguliza shukran zangu
0 Reactions
0 Replies
680 Views
WANAJAMII FORUM,kuanzia tarehe 19/12/2013 nitakuwa MOSHI na ARUSHA na korosho daraja la kwanza kutoka Mtwara,korosho za brown,kwakweli ni nzuri sana...nitakuwa nauza bei nzuri...nawakaribisheni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tangu yazinduliwe haya maji ya Jaydee sijawahi yatia machoni, hivi yanatengenezwa bado ama aliona biashara hailipi akaacha? Maana naskia biashara ya maji ni kati ya biashara zinazolipa sana ndio...
1 Reactions
30 Replies
5K Views
jamani natafuta smart phoni Huawei call 0765167126
0 Reactions
4 Replies
903 Views
Nauliza mahali naweza kupata laptop mpya. Vigezo vifuatavyo ni muhimu. Type ipi ni nzuri, toshiba, dell au nyingine kwa durability ya betri na vitu vingine. Pili, bei iwe reasonable. Tatu nipate...
1 Reactions
1 Replies
828 Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Gari ipo in good running condition.kwa maelezo zaidi PM
0 Reactions
1 Replies
1K Views
bei 120,000/= ipo vizuri , 5mp camera ,memo internal ni
0 Reactions
5 Replies
895 Views
Ifa International Catering Service Ltd Ni mojawapo mwa kampuni chipukizi ndani ya jiji la Arusha ambapo imeweza kufanya kazi kubwa za kitaifa na kimataifa . Kama kampuni imeshaweza kufanya kazi...
0 Reactions
2 Replies
858 Views
Kwa wadada.naulizia ni wap nitakapopata msusi wa kunisuka yeboyebo makubwa?awe ni mtaalamu kwan nataka kusafir
0 Reactions
8 Replies
6K Views
helow wana JF. Natafuta toyota Hiace ya kunua ila inatakiwa iwe dungu an iwe katika hali nzuri sana au ata nikipata mpya kwa bei nzuri itakua vyema. Hii picha ni mfano wa aina ya gari ninayo...
1 Reactions
3 Replies
6K Views
Wakuuu samahani natafuta Simu ya Kununua aina ya SAMSUNG GALAXY S3 used( ila sio mbovu) nina Laki tatu(Tshs 300,000/=). Naomba msaada wenu kama inawezekana kwa mwenye nayo au anamjua mtu aliye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau naomba kuuliza Bajaji mpya dukani bei gani,?? na duka gani wanauza safi
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Tuko Mabibo Makutano Karibu na NIT na TGNP. Ni hoteli ya kiwango cha kuridhisha na huduma mbalimbali kama kumbi za mikutano (Conference facilities), Summit Bar (Rooftop bar), Fine dining...
2 Reactions
44 Replies
6K Views
Gari aina ya toyota carina inauzwa iko mikocheni, ni manual na inatumia diesel ni nzuri sana na haina tatizo lolote Inamilikiwa na mmama na sababu yakuuzwa ni kuwa mmiliki amenunua gari lingine...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu,iv majuz nimeanguka na pikipiki ikaharibika vibaya mno,nimetafuta kila kona spear zake ambazo ni bumper za pembeni pamoja na show ya mbele inayoshika taa bt nimekosa,nimeenda...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nauza sim zangu tajwa hapo juu Samsung nauza sh.135 tu,na hyo blackberry ni 145 tu,napatikana dar,kwa anaehitaji anitafte 0654715457 mizigo bado ipo ktk hari nzuri........
0 Reactions
0 Replies
696 Views
Nauza simu niloitaja hapo juu 300k.chanzo cha kuiuza nataka kununua I4n 5.nko mbeya,0716134171
0 Reactions
5 Replies
937 Views
Wakuu salama ? naomba msaada wa haraka kuwapata licensed brokers au madalali wenye leseni maalum kwa kukusanya madeni kwa kulipwa kamishini, sisi tuko Dar tunfanya kazi na watu kadhaa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom