Wakuu Nauza ipad yangu, specification zake ni hizi. 64 gb, Wi-Fi/3G/, bluetooth, version 5.1.1,haina camera, ila kwa internet unatumia wifi na pia unaweza weka micro chip.
Ina hali nzuri, the...
Naomba kuuliza eti bei za huawei y300 ni kiasi gani madukani-
NB>NAZOZIONGELEA MIMI SIO ZILE ZINAZOUZWA KWA PROMOSHENI KATIKA MITANDAO YA SIMU KAMA Tigo
Habari za wakati huu wakuu. natafuta mtu au watu wanaouza line za mpesa na tigo pesa. bei maelewano. aliyeserious tafadhali wasaliana nami kupitia 0716787525. nipo dar, nitakufuata ulipo.
Nauza laptop aina ya dell vostro 2521
specifications:
RAM 2GB Processor intel core i3
HDD 320 GB
Operating system:windows 7 na linux mint latest(dual os)
Webcam Bluetooth
Wi-fi
15.6 inch...
tunatoa offer kali ya Krismasi na mwaka mpya kwa wakazi wa Dar na mikoa ya jirani kulinda magari yenu dhidi ya jua kali linaloharibu rangi za magari.
**** 2 cars parking shade- TZS 2,100,000
****...
Niaje wakuu kama mnavyoo hapo juu,simu tajwa hapo zinahitajika, kama unayo moja wapo ni pm no yako kisha nitakucheck hewani tufanye biashara.
price ranges from
90,000 - 100,000/=. kwa wakazi wa dsm
--Hizi ni moja ya Cigar bora duniani ambazo zimetengenezwa nchini CUBA, ambazo zimewahi kutumika na watu maarufu na mashuhuri sana duniani kama vilf Fidel Castro na Cheguevara,
--Na mpaka...
Kiwanja kinauzwa.
Jamani ninauza kiwanja chenye ukubwa wa nusu heka. Kipo kigamboni. Kijijini: Mwasonga. Near to Dar es salaam zoo. Kuna shule ya primary, secondary na zahanati. Mtu atakayetaka...
tunatoa offer kali ya Krismasi na mwaka mpya kwa wakazi wa Dar na mikoa ya jirani kulinda magari yenu dhidi ya jua kali linaloharibu rangi za magari.
**** 2 cars parking shade- TZS 2,100,000
****...
Pata iphone 4s kwa laki 5 ba 5 kwa laki 8. Brand new Samsung galaxy s4 kwa laki 9 na mini kwa laki 7.
laptop Hp Probook 6550b processor intel 2.53ghz core i5, 4Gb ram, 320Gb Hdd, wifi, finger...
Wapendwa,
LUSH GARDENS, A Development Project by Investrek Limited
Dear Sir/Madam
We are delighted to introduce you to a new development project called LUSH GARDENS, which is located at...
Hi,
Am selling my 2004 Raum with an odometer of 105,000kms imported from Japan May 2013.
It is comprehensively insured and with new genuine tyres na sio Mchina.
Ths price is 9.5m negotiable...
Haya haya xmass season ndo hiyo imefika,sasa mimi natoa ofa ya nyimbo za xmass kwa wanaJf wanaozitaka maana mimi nazidownload za kutosha. Kwa yeyote anayezitaka sharti ni kwamba una'like' huu uzi...
Habari ndugu wana jamii forum! Napenda kuwatangazia kua kampuni ya Chinaworldbuz (CWB), yenye makao makuu Shanghai- China, Inaenda kufunguliwa mwezi ujao jijini Dar es Salaam, kwa sasa kampuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.