Nahitaji wafanyakazi kazi inahusiana na customer service? kuuza duka na zingine utaelezwa baada ya interview, kigezo kikubwa uaminifu, kujua mahesabu, shule ni an added advantage, umri vijana...
nauza samsung galaxy S4 white mpya, nimeletewa. am selling it coz i got extra two phones tayari so siwezi kuwa na simu ya 3 zote.haina hata week. laki nane na hamsini (850,000)tsh
Nina iphone 4s original naiuza 418,000/= au kama una nokia lumia yeyoye nzuri tunadilishane.
Ni pm tuwasiliane utaipenda imetumiaka mwezi mmoja tu.
Lumia625, 620, 800, 520 nk ila mtaniongezea na...
Heshima kwenu wana jamvi,kichwa cha habari kinajieleza,cjui sana kuhusu magari wadau kama kuna yoyote anaeuza ama anawezakunisaidia kupata rav 4 milango mitano,rangi c inshu iwe haijapata...
Naomba wenye uzoefu na haya magari wanisaidie ni gari ipi iko comfortable na operating cost ipo chini ukiachilia mbali matumizi ya mafuta. Magari ni kati ya Toyota Land cruiser Prado RZJ95/VZJ95...
Wana jamvini napenda kuwasilisha kwenu:
mimi ni wakala wa OIL NA GREASE inayotengenezwa na kampuni ya kichina inayoitwa SINOPEC
kutokana na utafiti uliofanywa unaonesha wazi ya kwamba china ndio...
Kwanza nishukuru wale wote mlionitafuta baada ya kupata news nauza magar humu JF na ambao tumeweza fanya biashara kabisa nawashukuru sana.
Sasa hivi kuna Benz mpya inauzwa macho ya panzi kama upo...
Kuna Mark X ipo imetoka bandarini sio muda hio bei yake 19.5mil, Toyota Passo 8.5mil mpya pamoja na Kluger 23mil. Kama ww ni mteja serious tutafutane kwenye simu tufanye biashara, mengine pia yapo...
Jipatie tecno n7 kwa 220000, imetumika kwa wiki mbili tu! Haina tatizo lolote haina michubuko ya aina yoyote,ina kava moja na smart cover moja, ina kila kitu head phone, charge na pia box...
Wapendwa,
LUSH GARDENS, A Development Project by Investrek Limited
Dear Sir/Madam
We are delighted to introduce you to a new development project called LUSH GARDENS, which is located at...
Nauza shamba la ekari hamsini lipo visiga nusu kilomita kutoka barabara kuu,lina miembe ya biashara 300,michungwa na minazi!kuna nyumba kubwa ya kuishi na servant house!liko tambalale na oevu...
wadau wa jf, kjana mwenzenu nmepata fursaa ya kufungua bsrbershop maeneo ya kkoo mtaa wa masasi na likoma, karibu na kanisa la kkt (eben view hotel).
karbun wote mtapata huduma zenye kiwango km...
Wakuu nauza Mayai ya Kuku wa chotara kwa Jumla. kila trei nauza kwa sh. 12000 na nina uwezo wa kusupply trei 10 kwa siku.
Mwenye kuhitaji anaweza kunipigia kwa 0783064100 na ataletewa popote...
Wakuu nauza Mayai ya Kuku wa chotara kwa Jumla. kila trei nauza kwa sh. 12000 na nina uwezo wa kusupply trei 10 kwa siku.
Mwenye kuhitaji anaweza kuja Pm na ataletewa popote alipo within Dar es...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.