Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wadau naombs msaada kwa anaejua mahali vilipo vyumba vya kupanga...zaidi napendelea chenye choo chake ndani yaan master,,,,,,offer yangu ni 70000 mpaka 80000 tshngs,,,,,,,namba yangu ya simu ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
mwenye samsung galaxy tablet hyo na anataka tubadilishane na laptop aina ya dell latitude E6320 ANI PM
0 Reactions
3 Replies
858 Views
Wadau me ni mfanyakazi serikalini nimejichanga hela nimepata tumilioni 8.8 Nataka kuagiza gari noah 2001 au 2004 nahitaji msaada katika mambo yafuatayo FOB CIF BID Hivyo vyote vina maana gani...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Habari, Kwa mwenye kuhitaji huawei ascend inauzwa kwa only 180,000/.4GB memory card, hiko full kila kitu.Ni pm if hupo interested. NIPO DSM.Internal memory ni 2GB.Unlocked, Haina tatizo lolote...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Chek this link : https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/563401-pata-unlimited-internet.html
1 Reactions
0 Replies
839 Views
Apartment inapangishwa iko regent mikocheni ina vitu vyote vya ndan( full furnished) e.g sofa t.v fridge,vin'gamuzi vyote including dstv,.na mengineyo, ina sebule, vyumba viwili self contained, na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani ninauza kiwanja chenye ukubwa wa nusu heka. Kipo kigamboni. Kijijini: Mwasonga. Near to Dar es salaam zoo. Kuna shule ya primary, secondary na zahanati. Mtu atakayetaka kuchukua ni lazima...
1 Reactions
1 Replies
788 Views
Bei yake ni laki 3.5, ni mpya kabisa kama zinavyoonekana kwenye picha, zimebaki piece 5 call 0713532322 niko dar
0 Reactions
5 Replies
981 Views
Habari wakuu naomba mwenye till ya m-pesa aniuzie.Mie niko dar es salaam. Kama unayo tukutane hapa 0786404808 0715404808
0 Reactions
3 Replies
781 Views
Wandugu, Natafuta mtu yeyote ambaye yuko Bongo mwenye utaalam wa ku-shoot na ku-edit videos. Kama una background ya journalism hiyo itakuwa murua zaidi. Tafadhali wasaliana na mimi kama una...
0 Reactions
0 Replies
877 Views
Ipo kimara bucha, dakika moja kutoka barabarani, ipo ndani ya fence, ina mageti mawili, simtank lita 2000, vyumba 4 ( hakuna chumba self contained ), ina eneo kubwa kwa parking ( gari 10 ), haina...
1 Reactions
1 Replies
768 Views
Habari wana jf,kama ilivyoandikwa hapo juu,mziki ni wa dukani aina ya fideek original full set sound,sio wa kuchongesha..umetumika miezi nane tu,wenye power speaker za midi 2 na bass 2 za...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Wakuu nauza cm yngu aims ya Nokia lumia 610 kwa bei ya ah laki tatu kwa yoyote atayekuwa interest anichek kwny hii namba0719 100531
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Salaam wanaJF, Nahitaji kuuza gari zangu tatu. Hii ni kwa kuwa zinakaa hazina kazi na mimi nahitaji gari moja tu kwa mizunguko yangu. Nimekuwa nikizipark ila sasa kama ilivo kama gari ikikaa sana...
1 Reactions
28 Replies
5K Views
Lumia hizi zinahitajika 620, 520, 800, 900, 601, 701 na 610. nipm aina na Bei yako.
0 Reactions
26 Replies
2K Views
ipad 2....ya32 gb.inquzwa iko katika hali nzuri sana laki 6 nusu.ukiitaj nichek 0654160092
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu Sim mpya inauzwa toleo la mwezi April Mwaka huu Sim hii inatumia line 2 zote zinafanya kazi wa wakati mmoja Iko poa kabisa nimeitumia hardly wk 2 Details za sim ni kama inavyooneka hapa...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Kwa wale wapenzi wa HTC, leo nawaletea kwenu mzigo mpya kabisa wa HTC one VX kwa bei ya Tshs. 550,000/=. Baadhi ya features za hii simu ni hizi hapa: MEMORY Card slot - microSD, up to 32 GB...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
KWA WAFANYABIASHARA YA BAA Naam ndugu ninataka kushirikiana na mtu ambaye anapenda kufanya biashara ya baa eneo lipo Dar essalaam ilala barabara ya kawawa linavutia sana kwa kufanya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom