Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wana jamvini napenda kuwasilisha kwenu: Mimi ni wakala wa OIL NA GREASE inayotengenezwa na kampuni ya kichina inayoitwa SINOPEC kutokana na utafiti uliofanywa unaonesha wazi ya kwamba china ndio...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wadau wa jf nahitaji simu used ila iwe iko kwenye hari nzuri japo bei yangu ni ndogo.nina 80,000/= Nipo dar
0 Reactions
0 Replies
703 Views
Iwe ni toshiba
0 Reactions
1 Replies
1K Views
PRESS RELEASE Catholic Relief Services (CRS) Tanzania launches soybean value chain project “Soya ni Pesa (SnP)” CRS announces an event to formally launch of the Soya ni Pesa (SNP) project...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Napenda kupangisha nyumba hii kwa mabachelor 4 ambapo wawili watapanga vyumba kwa shillingi 180000 kila mmoja na wawili walobaki mmoja atapanga kwa shikingi 200000 ambacho ni master na mwingine...
0 Reactions
0 Replies
841 Views
Nyumba ina vyumba 4 vya kulala iko maeneo ya mbezi beach samaki wabich na iko barabarani. Nyumba imezungukwa na huduma zote muhim kama vile hospital na nyinginezo, ina maji na umeme. Kama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Shamba lina ukubwa wa hekari kumi gari linafika mpaka shambani, bei ni shilingi milioni hamsini tu kwa zote haipungui, huduma za maji umeme zipo, mawasiliano, nipigie kwa simu namba 0717 000 990
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Read our latest magazine to learn more about Tanzania`s real estate business.
0 Reactions
0 Replies
707 Views
Natafuta maduka ya vyakula au yenye biashara yeyote ambayo unaweza kuweka freezer kwa ajili ya kusambaza nyama baridi(frozen meat)kama kuku,ngombe na batamzinga.Freezer hizo tunazigawa kwa wenye...
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Nahitaji vyumba viwili vya kupanga hapa Dar.. Plz nipm
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba ipo karibu na barabara kubwa maeneo ya mbezi beach, Contact 0788272824
0 Reactions
3 Replies
1K Views
heshima kwenu nauza hii kitu kwa 270000
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu mwenye screen ya laptop tajwa hapo juu tufanye biashara, bajeti ni 80000.
0 Reactions
0 Replies
796 Views
wadau natafta mteja wa miti milingoti wizuli kwa nguzo na matumizi mengine bei maelewano, kwa mawasiliano +254726262660 au utaliijackson@yahoo.com
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauza Toyote Progres NC250 Colour: Silver mileage: 112000km YOM: 2001 Condition: Very good and running. Maintenance: Done as per OEM Nimelinunua 2011 na sasa naona ni wakati mzuri...
0 Reactions
0 Replies
944 Views
Generator ipo katika condition nzuri. LISTER PETTER-K.V.A-12, 3phase na sehemu ya welder,Made In England, price ni 7.5mil. Mawasiliano 0753 982717.
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Generator ipo katika condition nzuri. LISTER PETTER-K.V.A-12, 3phase na sehemu ya welder,Made In England, price ni 7.5mil. Mawasiliano 0753 982717.
0 Reactions
0 Replies
853 Views
WanaJF habari zenu,Mwenzenu nimepata Matatizo hivyo ninauza Shamba langu lenye ukubwa wa hekari 2.5 lililoko Kigamboni eneo la Buyuni.Shamba liko Salama halina Mgogoro wowote ni langu binafsi na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina gari nataka kukodisha, nifanyaje wadau?
0 Reactions
3 Replies
990 Views
Back
Top Bottom