Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari. Rejea kichwa cha habari hapo juu. Nyumba ipo maeneo ya survey dakika mbili kwa mguu tokea mlimani city. Sifa za nyumba ni; nyumba ndogo yenye sebule na chumba kimoja choo chake pamoja na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
DO YOU WANT MORE THAN 100$ IN A WEEK? DO YOU WANT TO BE A BOSS OF YOUR OWN? DO YOU WANT TO PAY YOURSELF A SALARY OF YO CHOICE? WITH TELEXFREE ALL OF THESE ARE POSSIBLE!!!! FOR MORE INFORMATION...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
HELLOW JF USERS, mwenye simu hiyo tajwa anipe offer faster,, in dar ...........
0 Reactions
4 Replies
817 Views
Model GF-LN147 ya mwaka 2003 5L engine cc 3000 Diesel Manual Transimission Single Cabin Rangi nyeupe Iliingizwa nchini mwishoni mwa mwaka 2008 Usajili wake ni AXN Bado iko makini sana inatembea...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kuna tv set ndogo mbili kila moja ina deki yake bei laki na ishirini kila moja,pamoja na friji kubwa milango miwili ina freezer juu na cooler kwa chini inauzwa laki tatu na nusu kama utahitaji...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa yeyote ambaye anahitaji iPhone 4S ani pm sasa hv
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana JF Nauza shamba la kupanda miti. Zipo hekari 100, wilaya ya Mufindi kijiji cha Ibwanzi. Kila Hekari ni Tsh 120,000/=. Msimu ndio huu changamkieni dili hili, ukinunua nyingi bei...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mimi ni mfanyakazi wa kampun flan hapa Sinza-Lion, kwa hiyo natafuta chumba kimoja cha kuishi maeneo karibu na kazini kwangu. Kwa hiyo wapangishaji wa vyumba au yeyote atakayeweza kunifanikishia...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ipad 1 inauzwa kwa 300,000 64gb wifi check me 0717 022737
0 Reactions
6 Replies
1K Views
hellow wandugu! naomba kufahamishwa ubora wa hii gari kwa wale waliozitumia kwa mazingira ya kibongo bongo kabla sijaiagiza, mchango/ushauri wenu ni muhimu sana.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wana board salam.nna order ya mawe ya aina mbalimbali,yakiwemo quartz,amerthysist,garnet,saphayer etc pamoja na copper ore.interested people wani pm mawe waliyonayo na bei.my collection point ni...
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Nina ajira :uwe Msichana Miaka 20-30.,mrembo, Uko na masomo ya chuo au form 6.umesomea kazi ya hotel au mkahawa.east Charles@Gmail. Com
0 Reactions
0 Replies
566 Views
Gari mpya kabixa Toyota Will VS inauzwa kwa 12.5mil tu. Mazungumzo yapo ila sio xana jaman. Gari ndo imetoka bandarini tu leo, ni gari nzuri xana kwa safari za nje na ndan kwan haili mafuta xana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kiwanja kipo kihonda kwa chambo. Ukubwa ni sq mita 600, umbali toka main road ya Dodoma km 3, huduma ya maji na umeme ipo, kipo kwenye plan ya manispaa, bei maelewano. Nipigie: 0715500248
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa yeyote anayehitaji line ambayo iko fresh ina kila kitu tayari kwa kazi ya biashara ya M-pesa anicheki kwa hewa on 0717522175 ...bei maelewano.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Dsm hii kiwanja kilichopimwa cha 60x40m kinahitajika au ukubwa zaid ya huo
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale wenyeji Moro au madalali Wa vyumba naomba kupata CHUMBA hasa mitaa ya kihonda. Mwenye uwezo ani pm tuongee dili.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari! Kama unatafuta nyumba ya kupanga au vyumba au apartment za kawaida au zenye vitu vyote vya ndani, maeneo ya makumbusho, kijitonyama, mikocheni, msasani na mwananyamala Wasiliana nami...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana JF. Nauza hp compaq presario. Nipo Kayanga, Karagwe. Ina webcam, 1 gb ram, 150 gb hdd, card reader, betr inakaa na chaji, processer@2.5 ghz, wndows 7. Bei 480 haishuki. Bado ni mpya...
0 Reactions
0 Replies
813 Views
Nahitaji Toyota Avensis. Gari hizi Zinaingia hapa bongo mostly kutokea UK, ni manual zina engine 7A. MWenye NAyO ama taarifa zake ani pm
1 Reactions
0 Replies
930 Views
Back
Top Bottom