Nauza blackberry curve 9360 sh 160000 biashara bado ipo ktka hari nzur imetumiaka miez 6.5 kwa anaehitaji tuwasiliane "piga au tuma sms au niwasap itakuwa poa zaid"0654715457.......dar.....
Gari inauzwa aina ya Toyota Carina inatumia diesel, haina tatizo lolote, bei shiling milion 4, ipo victoria mikocheni, kama ulikuwa unataka gari hakika hii ni fursa muhimu kwako
Piga simu no...
Nahitaji chumba kimoja self au cha kawaida maeneo ya kinondoni. Kiwe katika standard nzuri yani isiwe nyumba mbovu,kiwe kikubwa na kisiwe mbali sana na main road..
Its Black Mist in Colour with internal 16GB. Get it with all accessories including its box and FREE cover protector & FREE screen protector at a fair price 800,000
Call me on : 0712868178
wakuu nauza laptop aina ya hp 530: sifa zake ni harddisk 250GB, ram 1gb, processor 1.6 ghz dual core, betri inadumu hadi masaa matatu,pia nakupa na chaja yake.BEI NI LAKI TATU NA NUSU, MAONGEZI...
Specifications mini tractor "Belarus " .
Modification Bіlorus - 132 H
Type wheel 4x4
Gasoline engine ( Honda )
Number of cylinders 1
Weight, operational , 425 kg
Rated traction gain of 2.0...
Kuna nyumba za kutosha zinauzwa maeneo ya mikocheni, kwa bei tofauti kutokana na ubora wa nyumba, na nyingine zinauzwa maeneo tofauti kama unataka kununua lakin hujuwi pa kuzipata na unataka...
Samsung inauzwaaaaaa.....!!! Ni samsung GT-B5512...
Bei..: 120,000
Mawasiliano.. call me, text me whatsapp me...
0785673240...
location..: dar es salaam
Gari aina ya toyota carina inatumia diesel na ni manual, haina tatizo lolote
Inauzwa milion 4 pungufu mtaongea
Inamilikiwa na mwanamama 1 mikocheni na ameamua kuiuza baada ya kununua gari jingine...
1)Wana jamii naomba ushauri wangu wa pili tuu kuhusu bei ya Scania used ni muundo upi na bei ni Tsh ngapi?
kwa mfano.
SCANIA 93H.M HORSE POWER 280,250 LHD USED
SCANIA 112H .M, HP 320. 113H.M...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.