Wapendwa
Rafiki yangu anaulizia nyumba ya kupanga Arusha
Atamaliza field yake mid January hivyo wakati wowote kuanzia January/February 2014 atakuwa tayari kuhamia.
Hana familia kubwa sana sana ni...
Wakuu,
Nauza Bajaji aina ya TVS KING ambayo namba yake ya usajili imeanza na TCAP.Bajaji inafanya kazi vizuri ipo inasanya kama kawaida na imekatiwa vibali vyote pamoja na bima.Bei ni Tsh...
Msaada wa simu hata used ambayo upande wa internet na music ipo poa kwa bajeti hiyo,kama unapenda kunisaidia niambie tumalize biashara fedha ipo mkononi
Habari
ninahitaji kununua simu Original Je kwa Dodoma maduka haya yapo wapi?
Kama kuna mtu ana contact ya maduka hayO anisaidir coz ni mgeni maeneo haya shukrani nahitaji kununua Samsung!!!
Mambo zenu wadau ? nna toshiba satellite 1115-S103 nlinunua 2007 nikiwa chuo , ina mda sasa siitumii coz ilikata display baada ya kuanguka but kioo hakijapasuka ila hamna display mpaka uchomeke...
1. HTC Wildfire S. Android Smartphone with 5mp camera. Imetumika mwezi mmoja, ni kama mpya. Vifaa vyote vipo, bila boksi. Bei 150,000/- tu
2. Samsung Galaxy S Captivate. Android Smartphone 5mp...
kama kuna mtu anaweza kunifundisha namna ya kuhack (lengo langu niwe hacker) kwa muda wa mwezi mmoja nikafahamu vizuri tafadhari ni pm, ujuzi wangu kwa upande wa kompyuta ni just office applications
kwa yeyote anaetaka nunua/au kwenda China kibiashara huduma hizi zinapatikana
1.VISA application asistance
2.Airport pick up and Hotel booking
3.business visit _tour to factories/shops etc...
nyumba inauzwa maeneo ya kinondoni kama unaelekea mwananyamala,
Nyumba ipo barabarani ina maduka mbele,kuna uwanja umebaki pia haujajengwa,eneo ni kubwa sana,kunafaa kujengwa hata ofisi.
bei ya...
HABARI......
Nauza :- sofa ya watu 2 kwa 250,000 (ipo katika hali nzuri na material mazuri)
kabati la milango 2 kwa 120,000 (lipo katika hali nzuri pia)
kitanda cha chuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.