Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
mil.8.5 au top up,cc 1490 plate bjr.year 2003 or u can rent it 0779091023
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu. natafuta keyboard ya toshiba satellite L505. kwa anayejua duka zinapopatikana na bei yake anisaidie. laptop ilianguka nataka nibadili keyboard.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa wale ambao wako kwenye hatua za mwisho za ujenzi wa nyumba zao yaani finishing... Sisi ni wauzaji wa aluminium aina zote,...na bei zetu zinakuwa kama ifuatavyo... Kwa square metre moja ni...
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Jamani mwenye access ya kunipatia visa ya swiden kirahisi anipm tafadhali
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nauza mbao za mninga. Size 2 x 6 na 1 x 8, zina urefu wa futi 7. Kila moja 20,000/=. Zimebaki pisi 50, wahi kabla mzigo haujaisha. Nipo Mafinga. Kwa maelezo zaidi ni PM.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam salaam wakuu. Natumai mu wazima kabisa wote,well................kuna generators wakuu kwa anayehitaji ziko pcs 30 ni za Germany mpya kabisa hazina kelele aina ni Swiss Kraft 2.5Kva na...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Samahanini wajumbe ila ni sehem gani hapa Dar naweza pata mashati ya kiume kwa bei nzuri na yawe ya dukani,naomba msaada mana kuna sehem nimeenda na wamesema ni 30 kwenda juu mpaka nkakata tamaa...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Wakuu mtu yeyote mwenye iPhone 4s anayouza tuwasiliane iliyofungwa au iliyo wazi but sitaki ya wizi. Usifikirie kabisa kuniletea ya wizi nitakufunga
0 Reactions
14 Replies
1K Views
kuna kiwanja kingine kinauzwa karibu na azam complex.kiwanja kipo kwenye mtaa unaopitika na gari hadi kiwanjani, huduma zote muhimu zipo umeme ,maji, kiwanja kina ukubwa wa mita 20 kwa 20 kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kuna kiwanja kingine kinauzwa karibu na azam complex.kiwanja kipo kwenye mtaa unaopitika na gari hadi kiwanjani, huduma zote muhimu zipo umeme ,maji, kiwanja kina ukubwa wa mita 20 kwa 20 kwa...
0 Reactions
1 Replies
848 Views
wakuu naomba kujuzwa jinsi ya ku delete post au uzi.. Ahsanteni
0 Reactions
0 Replies
689 Views
Toyota Fielder 2003 for sale 8500000, you can rent at agreement exchange or top up accepted call 0779091023
0 Reactions
1 Replies
899 Views
HABARI...... Nauza :- sofa ya watu 2 kwa 250,000 (ipo katika hali nzuri na material mazuri) kabati la milango 2 kwa 120,000 (lipo katika hali nzuri pia) kitanda cha chuma...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mercedes ml 350 for sale, 3.7l, 95000 mileage,year-2005, with air condition, leather sit,price is 27million tsh, contact me 0657690970.
0 Reactions
0 Replies
837 Views
ZTE Tablet inauzwa bei ni Tsh 450,000 (laki nne na nusu) imetumika mwezi mmoja tu na haina tatzo lolote... KWA Maelezo zaidi call 0652 206863,napatikana dsm
0 Reactions
0 Replies
1K Views
isiwe ya uwizi iwe orijino iwe na uwezo wa kuchuka laini 2 iwe haijatumika sana au ipo kwenye hali nzuri, pesa cash iliyopo ni sh elfu50, pesa inaweza kuwa adjusted. napatikana Ubungo, Dar...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Natafuta simu ya kununua bei isizidi 100,000/ Mwenye nayo anichek tufanye business faster!
0 Reactions
0 Replies
747 Views
Habari. Nauza Samsung Galaxy Pocket yangu. Ipo Vizuri na kila kitu kipo, kwa bei ya Laki 1 na elfu 20 tu (120k). Nipo Mwanza, 0756851815.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nauza simu aina ya Samsung galaxy Core duos(Samsung Galaxy Core I8260 - User opinions and reviews ), ni mpya kabisa ina kama wiki moja tu na inapiga kazi vizuri. Bei Tsh.320,000. Kama upo serious...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Do you need promotion materials to promote your business,organize we print on pens..either your company logo or anything.kindly download and see our varieties of options
0 Reactions
0 Replies
610 Views
Back
Top Bottom