Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nauza playstation 3,ukubwa gb 80 pamoja na boksi lake,na padi zake zote mbili pamoja na c.d mbili moja ya fifa nyngne ya.collection, Bei:400,000. Pungufu tunaongea Kwa yeyote atakayekuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwenye nayo/anayejua zinapopatikana naomba tuwasiliane kwa pm! asanteni
0 Reactions
1 Replies
837 Views
Natafuta Invertor ya 3 up to 5 kva ...full with battery ziwe za india not from China
0 Reactions
0 Replies
637 Views
Ipo kwenye hali zuri sana .automatic gear.petrol engine price 8.5mil maelewano yapo .for more information contact 0713959290
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Salam Wakuu, Ninanunua magari yaliyopata ajali na yale yaliyolipwa insurance baada ya kupata ajali. Yawe katika mikoa ya Dar es salaam na Arusha. Preference ni kwa gari aina za Toyota. Eg...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
nauza simu ya nokia lumia 620 imetumika kwa mwezi mmoja tu, bei ni 320000/......atakayehitaji anicheki kwa 0713 806 766. niko dar es salaam.
0 Reactions
1 Replies
781 Views
Wajumbe mwenye kuuza au anapojua inapo patikana hii simu (htc desire500) msaada tafathali..
0 Reactions
1 Replies
661 Views
Wakuu nimepata kiwanja Mapinga pale kibaoni kwa chini ka 2 km from lami ... manaonaje maeneo hayo wataalamu square m 2000
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana JF, Kuna mradi wa viwanja ambayo ulikuwa initiated na mwajiri wangu na viwanja hivyo vipo Kiluvya. Kwa maelezo ya awali,sisi tuliyoomba viwanja hivyo ilikuwa mwajiri atulipie kisha awe...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nipo Iringa, kwa anayeuza pikipiki iliyo2mika lakini iwe katika hali nzuri na iwe inafanya kazi. Bajeti yangu ni Tsh 750,000/= >> Kama tangazo linakuhusu ni PM. >> Natanguliza shukrani.
0 Reactions
0 Replies
753 Views
COACH NAME: "Touring Coach" DIMENSIONS: 45 ft. long | 102" wide | Raised roof LAYOUT: | Seats 40 ENGINE: Series 60 | 618,982 miles TRANSMISSION: Allison Automatic TIRES: Front: 25% |...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wanaohitaji Oil Filter za Toyota Passo, pls PM me or nijulishe hapa. Bei ni 15,000 Tshs.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wakuu mwenye s3 mpaya au used ni pm pesa ipo
0 Reactions
2 Replies
727 Views
Condition: Used (imported) Brand: Apple Color: White & Silver Model: iPhone 5 Camera: 8.0 MP Carrier: Any GSM network(unlocked) Cellular Band: GSM/EDGE 850/900/1800/1900 UMTS/HSPA+ / DC-HSDPA...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama unayo au unazo nicheki kwa 0655003510 tufanye biashara.
0 Reactions
2 Replies
900 Views
Nauza Nokia N8 ina 16GB , rangi ya grey haina michubuko yoyoyote, in excellent condition. bei 380,000 niko Dar. Phone0713 404014 or 0712 294219
0 Reactions
4 Replies
1K Views
For sale Nokia Lumia 800 in excellent condition with all accessories. Bei 450000
0 Reactions
2 Replies
707 Views
wajameni,nauza gari aina ya mitsubish GDI,Anaehitaji ani PM,TAFADHALI SANA
0 Reactions
80 Replies
9K Views
Iwe na camera mbili yan ya mbele na ya nyuma na camera ya nyuma isipungu 5megapixel. Iwe na 3G. Na android os yake iwe inaweza kuwa upgradable mpaka 4.1.2 jell bean. Isizidi sh laki mbili Kwa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau wa jukwaa hili natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Ubungo, Changanyikeni, Makongo juu, Mwenge, Kijitonyama, Mabibo na Kimara. Bajeti yangu inaanzia elfu 40 mpaka 50 kutegemea na ubora wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom