vyote naviuza kwa Tsh milioni moja na laki mbili tu. TSH 1,200,000/=
price is fixed.
hapa chini ni makadirio ya bei ya kimoja kimoja japo mimi nilinunua zaidi ya hapo.
dstv ya decoder 2 na ungo...
Wana jf,
napenda kuwakaribisha wote mnaopenda kujifunza ujasiriamali kushiriki mafunzo ya siku 3, ya biashara yatayofanyika kuanzia tarehe 13 hadi 15 decemba katika hotel ya victoria palace...
Kiwanja kinauzwa Kigamboni eneo la kimbiji/kijaka lenye ukubwa wa sqm 1,440. kiko eneo zuri karibu na barabara pia karibu na chuo kipya cha biashara. Bei shilingi million 12.5. Kiwanja kina offer...
http://bit.ly/1cjCGUj
Simu tajwa hapo juu zinauzwa
Bei yake ni TSh 450,000/= bila kupungua
Aina ni iPhone 4, Rangi Nyeusi, Size 16GB, zote zipo Unlocked
PM for the deal
Zipo mbili na kila moja ina vyumba viwili vya kulala kimojawapo kikiwa masta.jiko na sebure. Kila huduma muhimu inapatikana hapo. Kodi shs 500,000. Kwa maelezo zaidi piga simu namba 075531223
Wadau wa jamvini Habari. Natamani kununua shamba Moshi, maeneo ya kuanzia Machine Tools mpaka Uchira. Eneo linalofaa kwa kuishi na kilimo/Ufugaji minimum ekari 2. Umbali wa kutoka huduma za maji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.