Eneo ekari nane linauzwa milioni 25 kwa eka; lipo mita 200 toka usawa wa bahari na linapakana na kaole sekondari. Linafaa kwa ujenzi wa hoteli, apartments, au campsite kwa ajili ya utalii...
Kutakuwa na mkutano mkubwa wa biashara(BUSINESS FORUM) siku ya jumapili ya tarehe 5 may Peacock Hotel,Millenium Towers Kijitonyama ambao utahusisha wafanyabiashara mbalimbali wa ndani ya nchi...
Wakuu,
Kwa aliye mwenyeji wa lake zone, natafuta shamba eneo la Sengerema (highway ya Mwanza-Sengerema)
Yaani liwe ni jirani ya Kigongo ferry au hata vijiji vya jirani yake, likiwa kwenye ukingo...
Samsung mini laptop(BRAND NEW)
Intel atom inside, Processor 1.6GHZ,RAM 1GB.,HDD 300,WEBCAM,WI-FI,2 USB PORT
Price;420,000
HP mini 200(BRAND NEW)
Intel atom inside,processor 1.6GHZ,RAM 2GB,HDD...
HTC
Model: HTC wildfire A3333
Android version 2.2.1
Camera: 5MP with autofocus LED flash
Internal memory 153MB
Speed: 1GHz
Ram: 512MB
mint used
Comes with charger, earphones & usb cable.
for only...
habari wandugu natanguliza shukurani nyingi kwa members wa forums kwani kupitia jukwaa hili nimefanikiwa kupata mambo mengi pili natafuta spare part za ford focus kwa mwenye taarifa zinapo...
In vyumba vinne vya kulala kimojawapo kikiwa ''master bedroom'', sebure kubwa, dinning, jiko na store. Imezungushiwa na uzio. Kodi sh 400,000 kwa mwezi. Ukitaka kuiona nipigie hii namba tupange...
Habari wadau..
Natumai wengi wenu mpo salama
Leo nawaletea ipad 2 kwa laki 6 tuu..
In excellent condition..
Please call me 0712 507060
Nipo dar..asante
habari wandugu nahitaji spare za ford focus naomba mnijuze ni wapi zaweza kuzipata mimi nipo dar es salaam au kama kuna ajent wake au wataalam wa hizi gari
kama una fahamu madini kama vile
1.aqumalin aina yote
2.tomalini rangio za haina zote
3.zl con
4.rose and red garment
5.amasisti na
na mengine mendi wana jamii forum lete order una...
WAKUU HABARI ZENU KUNA MDOGO WANGU KAZICHANGA CHANGA ANATAKA KUCHUKUA NDINGA SALOON
SASA ALIKUWA ANAULIZA ACHUKUE NDINGA GANI NZURI YENYE comfortability NDANI YAKE
YA KUANZIA WALAU MWAKA 2001...
Huawei ASCEND Y200, second hand imetumika kwa mwezi mmoja tu, iko unlocked, rooted na imekuwa customized ROM yake to ICS.......atayehiyaji anichek kwenye 0712 780006, kwa bei ya Tshs. 180,000/= tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.