Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Samsung S2 original toka korea bei poa Tsh. 480,000/= WAHI ZIMEBAKI CHACHE
0 Reactions
2 Replies
916 Views
Wakuu natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kigamboni. Iwe na room tatu mojawapo iwe master bedroom, umeme,maji, parking ya gari angalau tatu na iwe na fensi. Iwe inajitegemea yaani sio...
0 Reactions
0 Replies
623 Views
Helo JF Am selling my ps 2 for 150,000 its still new and with its control pads and power cable + VGA cable. Its urgent call me on 07163-69299 or 0778-480905 Sent from my BlackBerry 8520 using...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Hamjambo? Nipo Morogoro sasa,na shahada yangu ya Ugavi na Manunuzi toka TIA (2012). Tayari kufanya kazi kwa kujitolea "bila utata" ili kumsaidia mtoa kazi na mimi mwenyewe. Nzuri zaidi ni...
0 Reactions
0 Replies
853 Views
iwe maeneo kuanzia sinza kijiweni mpaka bamaga ukubwa wake at lest 30 sqmt. 0755312233
0 Reactions
0 Replies
815 Views
Injizi size1298cc, petrol, Imesajiliwa kwa mara ya kwnza TZ 26/02/10 ina namba BFZ imetembea 146470km Bei maelewano piga simu tulonge au tuma sms uliza "Virts inauzwa sh ngapi?" 0755312233.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wandugu bado natafuta kiwanja amy one to help kuanzia robo tatu hadi heka urgrnt shanty town mpoo!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hajakamilika. Ina vyumba vitatu vya kulala jiko na sebure haijakamilika. Bei maelewano. Muhitaji tuwasiliane kupitia hizi namba 0717114409 or 0784225000. Sms ruksa
0 Reactions
0 Replies
999 Views
Wasalaam wanaJF!! Smartphone BB Bold 9780 inauzwa!! Haina tatizo lolote ila ni used,screen yake haina mikwaruzo kwan ina screen guard tangu upya wake!!! Kama uko interested tuwasiliane @0767...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
BB bold 9700 inauzwa kwa bei ya laki 2 na elfu 50 za kitanzania, haina mchubuko na inafanya kazi vizuri. Wasiliana na namba 0756 41 75 04 ili kuipata. tembelea NAUZA
0 Reactions
0 Replies
1K Views
BB bold 9700 inauzwa kwa bei ya laki 2 na elfu 50 za kitanzania, haina mchubuko na inafanya kazi vizuri. Wasiliana na namba 0756 41 75 04 ili kuipata. tembelea NAUZA
0 Reactions
0 Replies
843 Views
Mwenye pick up mzuri hilux, even other model tuwasoliane. 4Wd
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Iwe na Specification hizi with Android operating system RAM: 512 MB or above PROCESSOR: 1GHZ SCREEN SIZE: 4INCHES or above 3G NETWORK Samsung Zitakuwa more preferable.... Thanks...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Watanzania jipatieni Tshirt za ukweli zenye chata tofauti na quality isiyo chuja wala kuharibika na pasi.pia unaweza kuchapisha Tshirt utakavyo,fika kariakoo mtaa wa Udoe na Sikukuu karibu na Home...
0 Reactions
2 Replies
964 Views
Habari wana jamvi. IloveTZ Premium Hosting sasa inatoa 500mb's bure kwa kila domain (.com .net .org) utayonunua (22500/=). Pia endapo utahitaji msaada wa designing utapata katika bei nafuu. Waweza...
0 Reactions
1 Replies
766 Views
Haijakamilika imeisha kwa asilimia 90. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 900 na kina Hati Miliki. Ina vyumba vitatu vya kulala ambavyo vyote ni self contained. Ukubwa wa vyumba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani natafuta maid,ni lazima awe wa kulala si wa kwenda na kurudi nipo Mwananyamala.hata kama akiwa mkoani tuwasiliane nitatafuta namna ya kumfikia na kumtumia nauli.Mshahara ni maelewano umri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Looking for a HOUSE in Mwanza self concerned with minimum 2 bed rooms of not more than 2.4Milion per YEAR
0 Reactions
1 Replies
837 Views
Napenda kuwatangazia kuwa kunaviwanja vakujenga ninauza vipo mkoa wa Arusha mtaa wa Kikatiti 1km kutoka barabara kuu robo km kutoka soko kuu la Kikatiti. mawasiliano 0753127191 au 0756408423...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nawaletteni kwenu Samsung Galaxy S3 mini... It's a good phone sio lazima kila simu ijae mkono mzima. Portable and slickly Powerful, Some specs; 1Gb Ram. 8/16 Gb internal. 1 Ghz dual core...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Back
Top Bottom