Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wadau Nahitaji kununua gari yenye fuel consumption ndogo but durable ktk kuangalia details nimefikia Carina Ti 1500cc & Nissan Wingroad 1500cc. Mwenye details anijuze
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini wanajamvi jamani napendA kuwajulisha kuwa bidhaa pendwa iliyotajwa hapo juu ,ni genuine au original kabisa na vizito kutoka Congo mali ndo imeshuka,vinauzwa Tsh 40000 kwa doti yenye piece...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jaman chakula cha mifugo hasa nguruwe au ngombe kinauzwa kwa bei chee kabisa.chakula hiki ni special kwani kina mchanganyiko wa vitu vifuatavyo: 1.pumba 2.ngano 3.unga wa mahindi 4.mahindi...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nina mil.4 kamili mtu yeyote mwenye corola limited iliyo kwenye hali nzuri hata kama ya zamani kidogo ani PM.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
samsung hard disk 320gb ram 4gb bei 650000 maelewano yapo **wahi**
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni pm Nipe bei na namna ulivyozipack ...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu. Kwa wale wajasilia mali na wale wanaotaraji kuwa wajasilia mali, nina agent till ya M-pesa ninaiuza. Sababu ya kuiuza ni baada ya kuletewa nyingine nikiwa tayari...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kuna nyumba ya kupanga Mbezi beach-makonde, jirani na mbezi garden hotel. Ina vyumba vitatu vya kulala na kimoja ni master, jiko na sebule. Ni nzuri sana . Anayetaka ani PM nimpe namba ya mwenye...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nauza laptop hiyo, imekufa motherboard, ina ram 2gb, hdd 320 gb, na screen size 13.3 inch. Price tsh 290,000
0 Reactions
1 Replies
881 Views
Nimekuwa nikipokea simu kutoka kwa watu wanaotaka nunua vitu mbali mbali kama smartphones na tableti, wakiomba ushauri toka kwangu...na wengine hata wakitaka kununua wakidhani nina duka. Mimi ni...
0 Reactions
0 Replies
916 Views
Suzuki swift 2004, 133,000km linauzwa 7.5mil, valid road lincense, insurance, anayeitaji ani pm. Halina matatizo yoyote.
0 Reactions
0 Replies
787 Views
Car for sale with lowest price ever Brand : Daihatsu Terrios Kid year : 1999 mileage : 123850 location : Arusha valid road licence with comprehensive Insurance upto November Price...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Nina duka la vifaa vya umeme na ujenzi- kiasi. thamani yake ni minimum ya mil 2.5 Nimefanya biashara kwa almost 3 complete months--- kama mtu atahitaji mauzo yalivyokuwa nitamuonyesha. Nilimuweka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana kijiji biashara jamani brackbelly curve tsh.97000/=_for more info. call me 065482537 4#
0 Reactions
2 Replies
1K Views
natafta blackberry Z10 ya mishe jaman mwenyenayo
0 Reactions
1 Replies
878 Views
DISPLAY..11.6-inch (diagonal) high-resolution LED- STORAGE.. Configurable to 256GB or 512GB PROCESSOR..1.7GHz dual-core Intel Core i5 (Turbo Boost up to 2.6GHz) with 3MB shared L3 cache...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nina laki na elfu 30(130000),nahtaji simu tajwa hapo juu ikiwa mpya kabsa,na vifaa vyake vya kwenye box(charger,usb,earfone,sd card).. Npo Dar-es-salaam..
0 Reactions
4 Replies
1K Views
iunge kwenye semina ya Matumizi thabiti ya mitandao jamii kwa biashara! on May 11, 2013 2:00 PM EAT kwa kutembelea linki https://attendee.gotowebinar.com/register/6258498600733542144. Kumbuka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TANGAZO: Mtaalam wa UCHORAJI RAMANI za majumba na usimamizi. Ni mtaalam aliyesomea katika karne hii ya sayansi na teknolojia kwa uchoraji wa/na vipimo kwanzia kwenye kiwanja, aina ya nyumba na...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Hello guys gari Honda CRV 2008 Model (LEX Model,4WD automatic activation,) inauzwa. Gari nilinunua New with 0 KM. Now iko na KM 68,000. Iko na great Condition,haina any problem (if ur interested u...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom