Habari wadau!!! Kuna producer yuko USA tumefanya partnership kwa ajili ya mixing na mastering ya nyimbo. Kwa sasa tunafanya bure kwa nyimbo kadhaa ili kujitambulisha, nyimbo anazofanya sana ni za...
Bei iwe between 500,000 na 900,000 kama ni nzuri kama ni nzuri sana sana tunaweza zungumza 9XX, XXX +
pm or text to 0713943995
Sent from my GT-N7100 using Tapatalk 2
Habari zenu wadau,
Kuna rafiki yangu m1 anahitaji kununua kiwanja chenye hatii ukubwa angalau 25*35 maeneo ya Tegeta, goba,Bunju, mbweni, mbezi mwisho, kimara, kibamba na kibaha bajeti yake ni...
ni HONDA CRV, niliagiza mwenyewe from japan miaka miwili iliyopita, ni manual, ful AC, inatumia petrol, imelipiwa kila kitu,huwa inapelekwa service kwa ukawaida,sababu ya kuiuza nimetumiwa gari...
Ninauza nyumba ya vyumba vya kulala vitatu master ni self container ina choo na bafu ndani na nje, store, dining na jiko pia kuna nyumba nyingne ndan ya uzio ndogo yenye vyumba vya kupangisha...
Ni mtaalam wa uchoraji wa majengo kuanzia ya kuishi na ya biashara. Ni kwa kutumia teknolojia ya kisasa ikiwemo na makadirio ya gharama za ujenzi pamoja na ushauri. Gharama ni nafuu sana kwa...
Dear My Fellow Colleagues,
Are you interested in developing passive income through Real Estate Networking? Passive income is income, which is independent upon our direct involvement.
How...
Hello guys gari Honda CRV 2008 Model (LEX Model,4WD automatic activation,) inauzwa. Gari nilinunua New with 0 KM. Now iko na KM 68,000. Iko na great Condition,haina any problem (if ur interested u...
Ni simu ya nokia 5233 nyeusi kama mnavyoiona apo,ina miezi minne tu inauzwa "180000.TZ$" haina tatizo,ni touchscreen smartphone na ina apps za kumwaga tu,kila kitu kam internet,radio,mmry card...
Habari zenu!
Kuna mbongo mwenzetu ndo karudi nchini anahitaji mtaalamu wa kumshauri na kumjengea kibangalow cha ukweli (sio ghorofa) mitaa ya Mbweni.
Ramani anayo, sema ni mgeni kidogo baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.