Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nahitaji gari Suzuki Escudo ya milango mitano, wasiliana na mimi 0714-40-40-57, 0755-03-39-97
0 Reactions
6 Replies
8K Views
nahitaji room kinondoni........
0 Reactions
1 Replies
845 Views
Wakuu Hivi wireless internet ya shirika gani ina spidi nzuri na bei nzuri?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
nipo dar, call or tex: 0656063933
0 Reactions
10 Replies
3K Views
wana jamvi natafuta ps3 kwa yeyote alie tayari kufanya biashara na mimi anitafute kwenye namba 0718-733627 tufanye biashara ahsanteni sana
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa ipo Gogoni Kiluvya B. Ni studio apartment, kila nyumba ina chumba kimoja cha kulala, sebule na choo. Inafaa kwa "just married couples". Zipo apartment nne. Mwenye kuhitaji...
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Nyumba ya vyumba viwili,Kimoja master Sebule jiko na choo cha nje. Ipo ndani ya Geti Shiling laki mbili na hamsini 2500000. Unalipa kwa miezi 9 Piga 0682699999. Wahi kabla haijaingia mikononi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Chumba kimoja, kiwe self...seating room ( si lazima iwe kubwa sana...am a bachelor)...kitchen itakuwa added advantage..iwe sehemu ya karibu na usafiri, hasa wa kwenda posta..eneo la...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habari wadau!!! napenda kuwataarifu wadau wapenda maendeleo wote kuwa mimi na wenzangu(tupo7 sasa) tupo kwenye NGO iitwayo vision saccos. Sisi tupo morogoro vijijini-Dutumi village na tumepata...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nauza equalizer sensor,ambayo inasense mziki ndani ya gari na kuudisplay nyuma kioo cha gari Bei yake ni 180000 Atakayekuwa interested anicheki kwa namba. 0717312314
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana jamvi heshima! Kuna hii kitu inaitwa soya cake ni waste product ya soya ikishakamuliwa. Kama kuna mdau anaweza kupata hii kitu tuwasiliane. capacity kuanzia tani kumi. KARIBUNI.
0 Reactions
0 Replies
825 Views
MAFUTA YA UBUYU (BAOBAB SEED OIL) Ni mafuta yatokanayo na mbegu ya ubuyu {au kokwa}. Hukamuliwa kiini chake na kutoa mafuta. Utafiti huu umefanywa na Kampuni ya Essential Oil ya Afrika kusini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tafadhali wadau kwa usumbufu, Keyboard ya laptop yangu ilipata hitilafu nikajaribu kutafuta Uganda na Kenya nimekosa . Nimefanikiwa kuipata online ila kuinunua imekuwa taabu kutokana na masharti...
0 Reactions
2 Replies
903 Views
acer aspire one d257 mini laptop for sale harddisk 250gb ram 1gb processor inet 1.66ghz@4 cpus price 330000
0 Reactions
2 Replies
867 Views
Habari ndugu, kwa wale wanaotaka kwenda kusoma India katika level za diploma, degree na hata master napenda kiwajuilisha kuwa nafanyia Admission bureeee kabisa bila ya charges zozote. Kama...
0 Reactions
2 Replies
942 Views
kwa taasisi, mashirika, kampuni au watu binafsi walio maeneo ambayo hayawezi kupata huduma kupitia DSL na wireless Internet providers, sasa tunatoa huduma ya Internet kupitia satellite na hivyo...
0 Reactions
2 Replies
978 Views
Heshima mbele wakuu, wiki iliyo pita nilianzisha uzi kuhusu huduma bora kabisa ya masaji inayo tolewa na watu wanaitwa DAR EXCELLENT PARLOUR. Nimepokea pm nyingi sana za...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
MAZDA SPORT INAUZWA bei Mil. 9.2 ipo katika hali nzuri sana. Ipo Dar es Salaam.
0 Reactions
0 Replies
693 Views
Natafuta TOYOTA COROLLA DX YA MWAKA 1982. Iwe:- 1. Inatembea 2. Kutu isiwepo ya kutisha 3. Taa zote ziwepo 4. Mabampa yoye yawepo
1 Reactions
12 Replies
2K Views
kama ilivyo hapo juu natafuta kiwanja moshi mjini eneo la shant town kwanzia robo tatu hadi heka yani chap wandugu verify with price sitegemei mtu aulizw una sh ngapi? wala maswali ya kizushi oh...
0 Reactions
0 Replies
767 Views
Back
Top Bottom