Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wadau, Kiwanja kinauzwa kiko Makongo Juu, hakijapimwa. Kiwanja kina ukubwa wa 60m x 20m = 1,200-Sqm. Kiko umbali wa 7.0-Kilometa kutoka "Keep-left" cha Mlimani City. Bei ni Tshs 36Mil (TZS...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
simu iko pouwa, bei laki na sabini tuu (170,000/=) mazungumzo yapo, niPM au 0767698281 tufanye biashara
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana jf Kwa wale wenye matatizo ya uzazi (kutopata mtoto) kama ulishawahi kupata mtoto mmoja na inashindikana kupata wa pili pia kwa wale ambao wanashindwa kupata ujauzito kama matokeo...
0 Reactions
0 Replies
565 Views
Rafiki yangu ana kiasi cha Tsh 24 million anahitaji gari aina ya RAV4( kama anaweza pata new model itakuwa nzuri zaidi); kwa show room za DSM ni eneo gani anaweza kupata gari zuri aina...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana JF ninawatangazia kuna huduma inakuja ya kusafisha tiles kwa ujumla iwe ofisini ,majumbani .nina mashine maalum ya kusafisha tiles na kwenye yale maungio hasa ndio yanachafuka sana .pia km...
0 Reactions
0 Replies
823 Views
wapi naweza kupata wanaofanya biashara ya kununua simu used ambazo nzima kwa bei nzuri
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Bright ur home wiz expricity ar. We deal wiz . Botanical fenc .cure and watering garden .desgnening wiz unique style . Garden logo wiz low powered cost. contact us 0754866063 0716138557
0 Reactions
0 Replies
875 Views
Mwenye simu izo hapo ani pm tufanye biashara
0 Reactions
4 Replies
1K Views
NAUZA GARI AINA YA CORROLA LIMITED KWA 4.5 MIL. nipo dsm. Pm kwa mawasiliano.
0 Reactions
0 Replies
909 Views
business done.
0 Reactions
1 Replies
964 Views
Chumba kimoja na sebule pamoja na maliwato ndani umeme na maji vipo.kibamba dar es salaam kodi laki moja kwa mwezi.karibuni
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kiwanja kipo njiro arusha eneo la kwa masista block J kinaukubwa wa 15 kwa 25 na kina hati miliki (title deed), na udongo wa ardhi hiyo ni mwekundu. Bei ni shilingi miliono thelathini...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Rafiki yangu ana kiasi cha Tsh 24 million anahitaji gari aina ya RAV4( new model); kwa show room za DSM ni eneo gani anaweza kupata gari zuri aina iliyotajwa au kwa anayejua aina nzuri ya gari...
0 Reactions
4 Replies
961 Views
used laptop HP ProBook 6440b core i5, 3gb ram, 320gb hdd, for sale 380,000/- haipungui chini ya hapo inakaa na charge napatikana lego sinza!!! call 0714448864
0 Reactions
5 Replies
1K Views
NATAFUTA YA i5 IWE NA WEB CAMERA, FINGER PRINT SENSOR, VINGINE UTANIELEZA UKINIPIGIA BUT IWE KWENYE GUD CONDITION SIO UMETUMIA ZAIDI YA MWAKA MMOJA NA NUSU. CALL ME 0714-40-40-57. 0755-03-39-97.
0 Reactions
2 Replies
890 Views
wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza, alimradi isipungue 14" na isizid 20" , inawezekaana ipo uvunguni na wala huna shida nayo, na si ajabu labda unatafauta hata mtu wa kumgawia bure...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kipyaa ndo kimepimwa, kina hati, block la kwanza kabisa ukitoka kigamboni ferry, price 30m, ukubwa 1500sq.m karibuni mnaotaka kukaa jirani na Bush, yaani ni kiwanja cha tatu kutoka eneo la New...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Anayeuza baiskeli ya gia ambayo bado haijachoka,awe newala au masasi! aandike namba yake ntampigia
0 Reactions
0 Replies
729 Views
Habari wanandugu! Naomba mnisaidie kwa anayejua bei ya madishi ya free to Air "ft 6 na ft 8" full set mpaka sasa ni shillingi ngapi?
0 Reactions
11 Replies
3K Views
habari watanzania nahitaj mkopo wa haraka sana wa milioni moja dhamana yangu ni gari nina kadi na mkataba wa mauzo yan nilipolinunua.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom