Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
simu hii imetumika si zaidi ya mwezi bei ni 350k..pungufu unaoengea na utasikilizwa..kama unaihitaji nicheki kupitia 0713 190 118..wahi kabla sijaiuza
0 Reactions
1 Replies
997 Views
Ipo maene
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello natafuta line ya tigo pesa my budget 600000 call me 0716567467...
0 Reactions
0 Replies
687 Views
Habarini wapendwa. Nataka kununua Mende scania 114 ya kibebea michanga. Je inalipa. Naombeni ushauri wenu ili nijue la kufanya.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
serriusly kama hoja ilivyokuja hapo juunipo moshi nataka kiwanja chap kwa mwenye idea please check me 0767 66 47 95 natanguliza shukrani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
naza sony xperia miro ni mpya kabis ina siku 1 toka nimeletewa kutoka india kwa maana ya jana tarehe 24/04/2013 bei yake mpya nipound 170 ambayo ukiconvert ni kama 430,000 ya kibongo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama unahitaji display za laptop size zote (10.1," 14.0", 14.1", 15.6" etc) aina zote (LCD,Ultraslim na LED) Adapter za laptop aina zote na betri zake na spea nyingine za laptop, Nitafute kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hallo. Nnahitaji Router aina hiyo hapo Juu. Unlocked. Mwenye nayo anijuze tafadhali. Au kama unajua sehem zinauzwa kwa hapa kwetu Bongo naomba Unijulishe ni duka gani/wapi tafadhali. Asante...
0 Reactions
1 Replies
800 Views
yeyote mwenye kuuza iPhone5 used in good condition + all accesories please dial me on | 0712868178 |
0 Reactions
0 Replies
792 Views
Wakuu natanguliza salaam. Naomba mwenye simu hiyo hapo juu kama ni mpya au used si zaidi ya miezi 2 ili mradi ina warranty. Kama kuna mwenye aina tofauti pia lakini ambayo ni nzuri kwa ajili ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kipaumbele hizo sehemu, hasa kinondoni.... Chuma, sebule n iwe self contained. Pia chumba tuu kikiwa self contained nitacheck pia. Iwe sehemu ya karibu na barabara na hali ya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari zenu wanajamvi Naomba kupata msaada wa maelezo kuhusu SUzuki escudo ya mwaka 2001, cc 2000, petrol inayoonekana katika picha hapa chini katika ishu ya uendeshaji (Namaanisha mafuta). Je ni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
ALL DUTIES PAID REGISTERED NUMBER BB. Year of manufacture 2001 engine 3RZ PETROL 2700CC PERFECT CONDITION INCLUDING ALL 4 NEW BF GOODRICH TYRES PRICE 25M CONTACT 0715 881881
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari gani wana jf?, ninashamba hekari 20 maeneo ya BIGWA wilaya ya mkuranga, shamba lipo katika sehemu nzuri karibu kabisa na kisima kikubwa cha maji, pia shamba lina ardhi nzuri ambayo mazao...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna anaefaham sehemu yoyote ambayo naweza kuwapata wale wamasai wanaosokota nywele kwa rasta?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
naomba anayefaham bei ya nokia n900 kwa hapa tz na wap znapatkana kwa urahis nawasilisha.....
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Macbook Pro i5, 500GB (2012)-------700,000Tsh(Tatizo ni charger connector port Tuu) Ps3 250GB, Padi moja na cd mbili--------200,000Tsh(Tatizo ni Disc Ejector Tuu) Galaxy Note 2...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Helow wana JF Kama heading inavyosema apo juu nauza my blackberry curve 8520, bei ni sh 150,000 ( laki na nusu ). Ila inatatizo la sensa imeanza kuchoka na housing ni ya kubadilisha maana...
0 Reactions
0 Replies
608 Views
Have you ever been curious about your future concerning that important thing in your life or just making the right decision about it because you think you can't risk it, what ever it is...
0 Reactions
0 Replies
792 Views
Back
Top Bottom