Habari wana jf
Nina ndugu yangu ana miaka 41 mwanaume, kwa bahati mbaya FIGO zake zote zimefeli. Tunaomba kwa anayeweza kumsaidia figo 1 afanye hivyo nasi tutamzawadia mtu huyo milioni 40...
Habari zenu wana jamvi, natumai mu wazima,Naomba kuuliza zilipo ofisi za Amagro au Association of mango growers hap a Dar es salaam. kwa anaejua naomba msaada tafadhali.Natanguliza shukrani.
UKIHITAJI, AU NDUGUYO NA RAFIKIYO, KWA MAWASILIANO MUUZAJI ANAITWA MZEE VOROGWE 0763-621-208 ANASEMA NI 22 KWA 24 KIPO KILUVYA GOGONI (KINONDONI), UMEME NA MAJI VIPO KARIBU SANA HATUA CHACHE TU...
Radio ndogo aina ya SAST ambayo ni portable ina uwezo wa kutumia flash,pia ina FM.. Uwezo wake wa sauti ni mkubwa kwani ina Hifi pia haina haja ya kutumia umeme kwani unaweza kuichaji km simu na...
Nauza gari aina ya marcedes benzi nyeusi kwa bei ya tzs 7,000,000 ni gar kali haina tatz lolote,ina cc1998,ni ya mwaka 1998,imetembea km 101000 mpka sasa,ni automatic and manual...
Habari wadau,ninatoa kozi za computer applications kama Word,excel etc,pamoja computer hardware,mtindo wa ufundishaji ni private,hivyo nakufuata mahali ulipo,kwa atayehitaji nitafute kwa namba hii...
Ninahitaji Urgently mtu wa kuprint brochure 3000. nipo dar es salaam lakini kesho nitakua mwanza. design imekamilika lakini mtu aliyefanya design kapata matatizo na ameshidwa kuprint.
Details...
Nauza gari aina ya marcedes benzi nyeusi kwa bei ya tzs 7,000,000 ni gar kali haina tatz lolote,ina cc1998,ni ya mwaka 1998,imetembea km 101000 mpka sasa,ni automatic and manual transimition,full...
Kiwanja chenye foundation ya pande mbili kila upande una vyumba 3, choo,jiko, sitting room kina ukubwa mita 16 kwa 21. Kipo mbande mtaa wa kisewe Kata ya chamanzi. Ukitoka sokoni kwa miguu ni...
wadau salama?
kama kichwa cha habari kisemavyo, im looking for a powerful laptop, preferably apple, au sony vaio... hardisk kuanzia 500 gb, ram up to 8gb, processor ya core i7, na graphics...
Kichwa cha habari chahusika hapo juu. Nawiwa kuomba mkopo wa kiasi cha Mil 70 kwa interest isiyozidi 3% kwa mwezi , ninaweza kurejesha kwa kipindi cha miezi 12. Nitaweka nyumba ya vyumba 10...
This 4 bedroom house with a pool, large kitchen with lounge and a nice terrace facing the sea is located on Kawe Beach. The Plot with an 50 meter beach front has a total size of approx. 3.500 sqm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.