Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
wahi viwanja eneo la kilimahewa-Dar kata ya Wazo.umeme, barabara nzuri na maji vipo. Ukubwa 20 kwa 20 ni 13m na 35 kwa 25 ni 30m. Maelewano yapo karibu sana 0712232849
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Toyota Carina damu ya mzee inauzwa. Imeingia nchini toka UK (Ilikuwa inatumiwa na bimkubwa) mwezi wa kwanza mwishoni. Ipo katika hali nzuri kabisa, ni ya 1999 Full registration. Mile age 57000...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naweza kupata wapi cover/housing ya simu hii hapa dar?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta TILL za TIGOPESA tatu (3).Kwa yeyote mwenye nazo anayeziuza awasiliane name namba 0715 946 905 nipo Dar.
0 Reactions
1 Replies
969 Views
Galaxy ace 5830 inauzwa kwa bei ya tsh.270,000 tu. Kama unahitaji ni pm tuongee biashara.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Tunauza magari kuanzia mil 3.Mkopo wa masharti nafuu upo.Karibuni. Tupo Tabata Dampo,Dsm.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa inauzwa Ina vyumba vinne vyote master. Ina car parking ya gari ndogo mbili. Ina bati la msouth. Ina fensi ya ukuta na nje Kuna miashoki. Ina sebule kubwa. Ina dinning room...
0 Reactions
0 Replies
994 Views
Ndugu naomba mnijuze hii kitu ntaipatia wapi??
0 Reactions
3 Replies
1K Views
naomben mnisaidie bei yake na wapi zinapatikana kwa urahisi hasa mpya
0 Reactions
1 Replies
1K Views
simu imetumika si zaidi ya miezi miwili ina vifaa vyote..line mbili pia kumbuka ni galaxy pekee ambayo line zote zina internet ya 3G..km unaitaka nicheki kupitia 0713 190 118
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habari wakuu. Natafuta nyumba ya kupanga chumba na sitting room na choo chake, maeneo ya Tegeta pls, kwa anaefahamu msaada tafadhali
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nanunua mda wowote ambapo itapatikana,ikiwa mwanza itakuwa vizuri zaidi
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nataka simu ila isiwe huawei,zte wala nokia asha or e-series,kwa anayeuza atoe offer yake au ani-pm Natanguliza shukurani
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Viwanja vinauzwa kigamboni,chanika,mvuti,kerege bagamoyo,kivule na mbezi, kuanzia mil 1.5 nakuendelea, kuna viwanja karibu na baharini kigamboni , kuna vilivyopimwa na visivyopimwa : Tel 0713-95-92-90
0 Reactions
13 Replies
5K Views
1-Nyumba iliopo Maeneo ya Mafiga katika Manispaa ya Morogoro, nyumba inatizamana na kituo cha Mafuta ya Lake OIL inauzwa milioni 120 2-Nyumba ipo eneo la Msamvu bei yake milioni 100 3-Shamba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
haina scratches. ..kwa kifupi iko katika hali nzuri mno. color - white price- 250,000 inapatikana dar es salaam +255712668360
0 Reactions
1 Replies
860 Views
Habari wana jamvi, napenda kuwatangazia soko la vifaa vya stationery ambayo nimeifunga muda si mrefu kuna lamination machine, binding machine, photocopy machine(inahitaji matengenezo kidogo)...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
2004 Toyota Wish 63,300 km Pearl White Automatic Transmission 1790 cc 7 Seats (Family Car) All Duties Paid + Registration & Insurance PRICE: 12.7 M or Best Offer CONTACTS: 0713662251
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu, ninahitaji projector mpya full hd. Napendelea iwe epson, sonny au nec. Kama unayo ni pm. Thanks!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
naitaji simu ila iwe na wifi tethering ili niweze kuunga na ipad yangu kwenye net,mimi ntakupa nokia e71 ni mpya kabisa,nilinunua nkijua ina tethering
0 Reactions
2 Replies
921 Views
Back
Top Bottom