Kwa yeyote mwenye nayo au anafahamu mahali naweza kupata hiyo dublicating machine pale Arusha anisaidie nahitaji kwa ajili ya shule ya sekondari pasipo na umeme. Iwe used inayofanya kazi vizuri au...
Legacy Impresion Company, ni kampuni iliyosajiliwa kisheria, inapatikana eneo la Kijitonyama.Dar es salaam na inafanya shughuli za "Printing, Graphic Design, Webtech na Stationeries"...
nauza shamba maeneo ya chanika majumba sita
shamba lina ukubwa wa heka 2
pia lina minazi 2, mikorosho 4 na mimbe midogo 2
pia kuna mihogo ila haijapaliliwa
bei milioni 6 ila maelewano yapo
namba...
Shamba heka kumi,lipo maeneo ya Msowelo mkoani Morogoro pembezoni mwa mto Msowelo linauzwa,linafaa kwa kilimo cha umuagiliaji maji hasa bustani na kilimo cha mahindi,bei inaanzia 400,000/= kwa...
"Nashukuru sana kwa wale wote ambao walifanyia kazi Tangazo ambalo nililitoa hapa miezi michache ya nyuma,kwani watu mbalimbali wamekuwa wakipiga simu na kuulizia zaidi na wengine wamefika kabisa...
Habari zenu wanajamii...
Naona ni share hii site na nyie, kwa yeyote ambae angependa kujifunza MS Excel, Adobe, Visio etc ajaribu kuingia kwenye hii site: learningexpresslibrary.com
I hope...
Tafadhali naomba maelezo kuhusu chainsaw,kwa wale wanaofahamu.
Je bei za Chainsaw zikoje?
Ni brand gani ambazo zinafanya kazi vizuri na kwa ufanisi?
Huwa zinatumia mafuta kiasi gani kwa saa on...
Ndugu JF members naomba msaada wa maelezo kuhusu FORD EXPLOER ya mwaka 2004, 4000cc, ambayo nataka kuiagiza kutoka Japan kupitia "tradecarview'' kampuni ya ''Y's OUTLET''. Nimekubaliana na hawa...
Wakuu mitsubish lancer used ya mwaka 1998 iko sokoni kwa bei cheap kabisa,vile vile ilinunuliwa mpya with 0km so itakuwa ni second hand! Engine ipo katika hali bomba kabisa!
nauza generator aina ya boss lenye power specification 2.2 to 2.4 KWatts
price 400,000/ negotiatble
contacts: 0713123713
Location Rufungira, Dar es salaam, karibu na kanisa la Kakobe
Kama ikiwa Bajaj Boxers au Tvs siyo mbaya. Kama vipi hata wa akina Fekon na T better waje tu. Ofa yangu ni tsh Laki 5-6. kama unayo ni pm tupange jinsi ya kuuona mzigo. natanguliza shukrani au...
mimi nimemaliza fourm 4 na kupa ta division 4 natafuta chuo cha tecnical ili kuchukulia fani yangu na chuo chenyewe kiwe kinatoa mafunzo ya electronic and communication
Blackbery 9800 inauza iko kwenye good order bei lak 4 tu! Ukiwa interested please ni PM kwa mawasiliano zaidi!
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.