Kariakoo Online Company Limited is glad to introduce new business model for mobile phone repair,unlocking,flashing etc.
From now onwards no need for people around Dar es salaam to have physical...
Ongeza ufahamu kwa mwanao na umuepushe na kuangalia dvd na vipindi vya luninga visivyo muhusu.Dvd maalumu za kufundishia watoto zipo za madarasa tofauti zinapatikana sasa madukani nchi nzima.kwa...
Iwe na vyumba vitatu (of course one should be master), maji yasiwe shida. Preferably iwe na fence ili niweze kulaza ndinga langu ndani. I am ready to pay monthly kodi of Tsh250,000 kwa instalments...
Habari za saiz wanajamiiforum, Kwa jina naitwa Martha Christian nasoma chuo kikuu Tumaini Makumira mkoa wa Arusha mwaka wa kwanza, faculty of Humanity and social science(EDUCATION). Natafuta...
http://haki-hakingowi.blogspot.com/
MSIBA MKUBWA UINGEREZA
(Reading)
*Peter Gachuma,Thomson Msigwa
Wafariki Dunia..
-------------
Wanajumuiya wa UK tumepokea habari Ya kusikitisha za...
Kamata bomba la gari kutoka Nissan aina ya ELGRAND ya mwaka 2006 yenye uwezo wa kubeba watu wa nane(8) kwa USD 10,599 FOB. Pia ina sifa zifuatazo; Air Conditioner, Power Steering...
Nina mgeni mfanya biashara kutoka ulaya anakuja Tz hivi karibuni, kaniulizia kama anaweza kupata bodyguard mwenye leseni na silaha. Sijawahi kusikia hii kitu Tz so kama unafahamu nielekeze.....
Sasa hivi imeboreshwa zaidi kwa kuwekwa TILES
Nyumba hiyo ina sifa zifuatazo:
-2 Master bed rooms
-Wide Sitting room
-Dinning Room
-Kitchen
-Store
-Public Toilet
-Fence
-Maji
-Tiles
-Umeme wa...
Anaitwa Dr sospeter Majala, ana uzoefu wa zaidi ya miaka 20, Anatibu magojwa mbalimbali isipokuwa ukimwi na TB. Wasiliana nae kupitia No 0769293026, atakusaidia baada ya kueleza matatizo yako.
ipo Dar es salaam, gari ipo katika hali nzuri sana. imetembea km 130,000 tu
haijawahi kuguswa injini.
bei maelewano.
mawasiliano 0754403356 au 0752555055
Waungwana,
Natafuta MSOMI, aliye ndani ya nchi - Tanzania - anayejua Kifaransa, KINAGA UBAGA. Kuna kazi ya kufanya translation, highly technical document, kutoka Kiingereza kwenda Kifaransa...
NIKON D40 SLR 6.1 megapixel ,na NIKON D50 SLR 10 megapixel na Panasonic lumix pia ipo NEC PROJECTOR bulb yake ina masaa marefu complete ZOTE ZIPO DAR .bei maelewano piga simu 07112652110 ,
Wakuu habari! Nna xbox 360 inatatizo la hardware obviously mana ile ring inawaka rangi ya red... Sasa kama kuna mtu anajua how to fix it anambie ama kama kuna fundi lkn kwa instant service pia...
habarin wana Jf.
nina gari yangu Chaser avante gx100.
manufacture year 2000.
reg: T.....BDU
engine 1G vvti.
cd.dvd.TV player & Navigator.
Imported in 2010.
Ipo katika hal nzuri.ipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.