wadau habari za asubuhi. nimekua nikitafuta taarifa za jinsi ya kupata vifaranga vya kuku wa mayai. nipo Lindi kwa sasa. kwa yeyote ambae anaweza kunisaidia naomba afanye hivyo ikiwa ni pamoja na...
Suzuki vitara-Escudo iko katika hali nzuri,automatic transmission,petrol engine 1590cc,grey-metallic,127000km.Inatembea mwenye kuihijitaji ani pm bei ni 6.5mil.
Wana Jamii!
Nyumba ya kupanga vyumba viwili vya kulala, Sebule, Dinning,Choo na bafu inapatikana, jirani na Mtoni Kijichi CCM parking ya kutosha kodi ni tshs.170,000 kwa mwezi na kodi ni miezi...
ANNOUNCEMENTS:
1 Bed room Service Apartments at Nelly's Inn Mbezi Beach:
Nelly's Inn is proud to offer a few Apartments now available for just a fraction of the hotel rates.You get to live in a...
Namhitaji mwalimu wa kufundisha kuogelea; au ningependa kujua shule au mahali ambapo wanafundisha kuogelea katika mkoa wa Dar e Salaam. Natanguliza shukrani.
Roel investment limited is here by at your disposal to enrich you with good health by providing best quality oil from Hanang' Manyara. available at your required quantity
place your order at...
Habari ndugu zangu,
Kuna utafiti naufanya hapa Tanzania kuhusu kuboresha na kujua undani wa vyuo vya ufundi mbalimbali, ikiwa ni pamoja na vifuatavyo;
1. Vyuo vya Hotel Management
2. Vyuo vya...
Nyumba ya vyumba ya kupanga inapatikana, vyumba viwili vya kulala, sebule, dinning, jiko, choo na bafu. Tuwasiliane kwa namba 0712 477976, ulizia geoffrey.
Habari wakuu humu jf:nauza vifaa vyangu vya kazi yangu inayo niweka mjini ya uganga kama utanunua jumla basi nitakuongezea misukule mitatu kama nyongeza!
Kuna ilizi 8 nyekundu pembe ya nyoka...
"Huko Waliko" ni kipindi kipya cha TV kinachopikwa tayari kuja kwenye luninga yako siku za karibuni. Lengo la kipindi ni kuelimisha na kujulisha yale ambayo Watanzania wanaoishi ughaibuni...
Habari za leo wandugu?
Wataalamu wa mambo ya roofing materials hasa mabati mliomo katika jukwaa hili la 'Great Thinkers', naomba mnisaidie mambo yafuatayo;
1. Nitapata wapi mbao za kenchi
2...
Habari,
Wanajamii nlikua nataka kununua Bajaj mpya ila nataka kulipa kwa Instalments,kwanza naanza kwa 2Million then laki 5 kila mwezi mpaka deni linaisha.ila nahitaji Bajaj mpya.
nahitaji mkopo wa shilingi milioni mbili, kama kuna mtu yupo tayari kunisaidia tafadhali tuwasiliane kupitia 0714021078
tuweze kuongea zaidi na kufikia makubaliano na mambo ya msingi...
tafadhali...
Gari ainaya toyota forturner inauzwa ni ya mwaka 2008 ni manual inatumia disel imported from south africa bado haijasajiliwa, bei ml 35 interested customer pls contact me 0714560921
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.