Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
HP Gb 80, Ram 1 gb Prossecor 3.20, kwa 140000 Desktop 0764435828 nipo manzese luhanga
0 Reactions
1 Replies
793 Views
Wadau na wafanyabiashara wenzangu. G12 int'l tunatangaza punguzo la gharama za usafirishaji wa mizigo kutoka China hadi Tanzania Bei zetu zitakuwa kama ifuatavyo: 20 feet USD2,500 kuipitia...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
KIPO KURASINI TOM ESTATE DAR ES SALAAMkina ukubwa wa heka 1. kipo umbali wa 5km kutoka bandarini , umeme na maji vinapatikana . kinafaa kwa matumizi ya kibiashara au kuhifadhia mizigo kwani maeneo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cif dar tzs mil 38
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jamii nauza kiwanja kina ukubwa wa eka na kina miti aina ya mitiki umri miaka nane. Kipo Mang'ula - Mwaya -Kilombero(w). Eneo lina faa kibiashara hostel/hospital/Hotel n.k. Bei maelewano...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba ya vyumba vinne,choo na bafu,sebule ya kupumzikia,sebule ya chakula pamoja na jiko. Pia kuna eneo kubwa la kuweza kujenga nyumba nyingine. Nyumba ipo Kimara mwisho - ghorofani,njia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kipo mbutu , kigamboni,22km toka kivukoni .hati /t deed ipo,pana faa kwa matumizi ya petrol station,nyumba za kupangisha nk 160mil . 0786149592/0717765110
0 Reactions
0 Replies
760 Views
BlackBerry Bold 9700 at&t unlocked used in us,in good condition for sale @ 300,000/=. Ina uwezo wa kutumia internet bila ya kuwa na blackberry data plan. Ina applications nyingi kama facebook...
0 Reactions
2 Replies
784 Views
wana jamii shida imenizidia incubator kuanzia 278- 26, kwa mayai aina zote zote ni automatic , mult function na ni mpya .zinatumia umeme na certicated approved nishauza 3 , saba zimebaki made in...
0 Reactions
2 Replies
860 Views
Natafuta mlinzi ila kutoka kampuni ya ulinzi, eneo la Gongo la mboto. Tafadhali mwenye kujua kampuni yoyote nzuri ya ulinzi eneo hili au karibu na hili - mwisho eneo la TAZARA. Natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ninauza external harddriiive transcend oneterrabyte kwa yeyeote muhitaji contact 0717 95 70 70 ni mpya na iko na seal zake kabisa
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu!!! Nahitaji gari tajwa hapo juu. Iwe katika hali nzuri, bajeti yangu ni 6m
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Eneo lipo kibaha misugusugu hekali mbili liko barabarani hekali mbili na robo linafaa kwa sheli hata godown etc.....mwenye kuhitaji anipigie kwa namba hii 0713935738
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwanza kabisa nafahamu madalali watakuwa wakwanza kunijibu na kunipeleka sehemu ambazo ziko kwenye mpango wa kutouzwa. Kwa hiyo nawakanya mapema maana nishapelekwa sehemu nikaokolewa na mwenyeji...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
WANA JF naamini kuna wataalamu wengi tu wanayoyafahamu vizuri magari haya Toyota GAIA na Toyota OPA,naombeni mnijulishe ubora/uzuri na ubaya/matatizo ya magari haya bse nataka kuagiza. Natanguliza...
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Dear Colleague JF Members, Greetings to all, I expecting that this good news find you well. I am writing this to you being an information that there will be a Research Methodology...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
hello, natafuta nyumba ya kununua maeneo ya mwenge,savei, ubungo,kinondoni na tabata, bei ya mtanzania wa kawaida sina mamilioni jamani, budget ni 35-45 m.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kiwanja kina ukubwa wa mita 30 kwa mita 20, kimepimwa na kina hati, kipo umbali wa km 2 kutoka barabarani kimepakana na kota za NSSF bei ni million 8. kwa anaekihitaji apige namba 0713872828...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
anayeuza android tablet isiyozidi laki 4, lakini iwe ina-support 3G. Kama unazo niandikie aina yake na bei yako unayouzia
0 Reactions
1 Replies
853 Views
Wana Jf habari zenu. Ninatafuta mashine ya kusagia karanga inayo tumia umeme ambayo isha tumika yani Used iwe tu katika hali nzuri pia kwa bei nafuu ili niokoe mladi ya mladi imekufa msaada...
0 Reactions
1 Replies
779 Views
Back
Top Bottom