Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Mashamba yanuzwa maeneo ya Mwale Masaki Kisarawe. Moja heka 4 lina, minazi kama ishirini, michungwa, miembe n.k Shilingi milioni 10. Lingine heka 1shilingi milioni moja na laki nane. Wanaouza ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
iko in good condition. ni nzima no problems at all, ni nyeupe , 16gb , used , iko cheaped, ina game 9 (including fifa 13) price ni : 250,000 contacts ; 0656 211 999 , 0789 218 339
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ni nyeupe, 16 gb, ipo in good condition na ina kila kitu chake. price ni 250,000. nicheki @ 0656 211999
0 Reactions
2 Replies
977 Views
ninauza external hardrive mang'anyu ni ya one terrabyte seal unakata mwenyewe nitafute kwa number hii 0717957070
0 Reactions
1 Replies
852 Views
Wadau, Ninauza Scania 124L HP 420 ya mwaka 2000 ambayo imetoka leo bandarini na iko kwenye hali nzuri sana kama ambavyo picha zinavyoonesha. Bei yake ni nzuri na iko below market price kwa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Hii ni camera moja kali sana utafurahi kwa matumizi yake.Picha zake ni nzuri sana na imewekwa lens ya sigma ambayo kali sana.Imetumika kiasi lakini ipo katika hali nzuri kabisa wala haina...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hii ni moja ya Camera ambayo inasifika na hutumika sana hasa wanaoendesha shughuli za habari kwenye studio's.Quality picture yake ni nzuri sana.Nitawaletea spec's zake baadae na ipo njiani kutokea...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu, ninahitaji kununua Unlocked 3G Vodacom Modem Kwa Bei Poa
0 Reactions
0 Replies
839 Views
Kenta mpya inahitajika,mwenye kujua anijulishe pliz,aainishe na bei kabisa! Ili nione kama nitamudu
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu habari za leo, kuna laptop HP dv6 nauza specification zake ni kama ifuatavyo INTEL CORE i5, HD 600GB, RAM 8GB, PROCESSOR 2.4 tuwasiliane kwa simu namba 0654 755757
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nahitaji solar panel watt 100 pamoja na gharama zake. natanguliza shukrani
0 Reactions
23 Replies
13K Views
iwe maeneo ya upanga au posta mwenye uelewa ani pm
0 Reactions
0 Replies
736 Views
Natufuta used engine ya Landcruiser, 1PZ, 5 cylinders. Kama unajua wapi naweza kupata au unajua mtandao ninaoweza kuagiza straight from Japan, nitashukuru
0 Reactions
5 Replies
1K Views
:israel:kampuni ya mobile power imetoa ofa ya punguzo la 25% kwa huduma zake za .kushoot video za harusi,kitchen part,sendoff,mikutano pamoja na kupiga picha .kushoot video za...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Eneo lipo Kibaha mkoa wa Pwani kata ya Visiga kituo cha madafu, kufika kwenye eneo ni kilometa 3 kutoka barabara ya morogoro, linafaa kujenga, kufuga, kulima. Bei Milioni 2. Mawasiliano 0714404057
0 Reactions
0 Replies
803 Views
Lipo kibaha eneo la Visiga kilometa 3 kutoka barabara kuu ya morogoro road. Lingine kilometa 6 kutoka morogoro road, yanafaa kufuga, kujenga, kilimo. Bei milion mbili kila moja. 0714404057
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Naitaji Corrola NZX engine model ya mwaka 2003, Mile 75K maximum, rangi yoyote ile. Au naitaji GX115 ya mwaka 2003-2005, CC 2000, Mile zisizidi 75K. Bei maelewano, sitaki bei za wazimu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ukubwa ni heka 5, umbali ni mita 500 kutoka Morogoro road, maeneo ya Visiga madafu, bei ni 125m.umeme upo pamoja na maji, ni zuri kwa yadi, godaun, nk. simu 0764434673.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Plot ya ukubwa wa futi 90 kwa 50 inauzwa, maeneo ya Toangoma kwa Sako. Ni karibu kabisa na shule ya sekondari ya St. George. Limezungukwa na makazi ya watu. Bei ni sh. mil 2.2. Hamna dalali. Simu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu Naweza kulipa laki 8 au 9 kwa mwezi. Nitaweza kupata nyumba Kawe beach, Jangwani Beach au Mikocheni? Au nisijisumbue niende tu nikatafute maeneo ya Mbezi beach, Kijitonyama na Makongo...
0 Reactions
56 Replies
6K Views
Back
Top Bottom