HP desktop dc5000........ GB 80, processor 3.20 ram 512 wahiii....jumatatu hii.. namba yangu ya simu ni 0764435828 au tigo kwa 0718512630... kwa 130000 tu igoogle hiyo model uione
KIWANJA KINAUZWA
Kiwanja kipo km 30 kutoka mbagala
ni njia iendayo kusini mwa tz,,
kinauzwa mill 1.3 maelewano yapo
kina hati ya serikali ya kijiji
ni robo ekari kipo nusu km kutoka barabara...
Hii ni Panasonic dmc-fz100 14.1MP ni moja ya Camera zilizo sifika kwa ubora na uzuri wa picha.Bei yake ni Tshs 850,000.Imetumika lakini ipo katika hali nzui kabisa na ilitumika Uingereza na sasa...
Wana jamii nauza shamba langu la heka nne ambalo halijalimwa na halina visiki labda viwili vitatu tu kwahiyo usafishaji wake ni wa kuondoa majani tu halina kazi kubwa.Lipo Mkuranga na kama kuna...
Natafuta Hp desktop CPU iwe dual core processor, hard disc drive kuanzia 180GB, na ram kuanzia 2gb, dvd writer na iwe tower. Kwa anayeuza anitafute kwenye namba 0713872828
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.