Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
#Kigamboni city. Apartment for rent. Tsh 250,000/= tu Chumba kimoja Cha kulala ambacho ni Master. , ukumbi na jiko. Zipo nyumba 9 zinatumia geti moja kuu, pia Kuna ghorofa ambapo ground floor...
0 Reactions
13 Replies
903 Views
Kwema wanajf kwa mtu anayeuza nyumba aweke taarifa za nyumba na picha zake mf nyumba inauzwa ina vyumba vingapi iko maeneo gani na bei yake na anayehitaji nyumba aseme anahitaji nyumba aina gani...
1 Reactions
5 Replies
886 Views
Mwenye Infinix note 7 anitafute offer yangu ni laki na 30 Morogoro mjini
0 Reactions
0 Replies
317 Views
TCL SMART TV INCH 32 INAUZWA HAINA TATIZO LOLOTE BEI: 300,000 TU EXCHANGE KUANZIA TV INCH 50 NA KUENDELEA CALL 0622446574 WHATSAP 0753285898
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari zenu wakubwa, mimi ni mwenyeji wa Arusha, ila nina trip nyingi sana za Dar Es Salaam, nimefikiria si mbaya kama nitakuwa na kaenea na kujenga kajinyumba kangu kadogo kakufikia Dar Es...
2 Reactions
23 Replies
8K Views
Habari! Natafuta kiwanja kati ya maeneo yafuatayo Dar Es Salaam. 1. Goba 2. Kigamboni 3. Kinyerezi 4. Madale Siyo lazima kiwe kimepimwa. Mwenye nacho ani PM. Asante sana Sent from my...
0 Reactions
3 Replies
995 Views
Habarini natafuta kiwanja Dar es Salaam maeneo ya Kibamba, Goba kiwe kizuri si ndani sana wala mbali sana. Bajeti milioni 5. Kwa mwenye nacho aniambie.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana jamii forum, Nauza mifuko ya kg 25,Kg 40 na Kg 50 Kwa Bei ya Jumla Tsh 300 tu Phone No:0757005897 au nicheki Pm
0 Reactions
0 Replies
629 Views
Ipo Mbezi haina tatzo lolote 0766030011 mawasiliano
2 Reactions
7 Replies
604 Views
Kama wahitaji tablet hasa za watoto,usisite kusogea dukani kwetu,zinapatikana kuanzia gb 16 hadi 64 na kwa ukubwa (size)tofauti tofauti
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari natafuta kiwanja eneo la chamazi. Kuanzia magengeni mpaka maeneo ya azam. Bajeti yangu ni milioni 4 kushuka chini. Kama unacho toa sifa zake kama size kikoje na kiko chamazi ya wapi ili...
0 Reactions
3 Replies
684 Views
Nahitaji mahindi yawe yamekauka vizuri bei 920 nipo Arusha malipo cash kuanzia tani 30 Mawasiliano 0712206032
2 Reactions
5 Replies
999 Views
Bajaji namba C brand ya TVS, inauzwa Imetunzwa vizuri, Full document Imefungwa GPS Inapatikana Mwanza Bei 4.5M. PM
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Mpendwa mteja napenda kuwajulisha kuwa sasa kuna punguzo maalum Ni majeneza ya kisasa kabisa yenye ubora na muonekano wa kuvutia! Kwa mteja aliyepo Dodoma atapata huduma ya kusafirishiwa mzigo...
9 Reactions
128 Replies
27K Views
Natafuta Kiwanja kibaha ,maana nimeona utakuwa mji mzuri sana Wa kiviwanda na biashara ,niunganisheni wadau ni furusa zipi zinapatjkana kibaha CBD?
1 Reactions
24 Replies
6K Views
Kama mnavoona hawa ni jamii ya sungura wa nyama wenye uwezo wa kukua kuwa kima kikubwa sana! Kifupi ndo sungura wakubwa kuliko aina zote za sungura Kwa hapa tanzania wanapatikana wap
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta kuku aina ya Kuchi kwa Mwanza au mikoa ya karibu kama Simiyu au Geita na Shinyanga Mikoa maarufu ; Niliwaona mara ya mwisho Tabora. Lakini tafiti zinaonesha hii mikoa wanapatkana...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari zenu ndgu zangu wanajamii forums. Natumai mu wazima. Naombeni msaada wakuu, mi ni kijana ambae najitafuta bado. Msaada ninaoomba ni kiasi cha shilingi 200,000 (laki mbili) za kitanzania...
2 Reactions
6 Replies
490 Views
Sony xperia xz1 inauzwa. RAM 4GB na storage 64GB 200000TZS 0758700852
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Jambo wakuu.. Nauza pedi za kufua kwa wafanyabiashara wanaotaka mzigo wa jumla. Bei ni 6500 kwa packet na ninatuma kwenye mkoa wowote Tanzania.
0 Reactions
31 Replies
12K Views
Back
Top Bottom