Habari za mwaka mpya ndugu zangu ma GT.
Leo nawaletea habari nzuri, kuwa nina nyumba 3 nazipangisha KODI kwa mwezi ni shilingi 100,000/= tu.
Pia jinsi gani ya kilipia Kodi yako ya mwezi utachagua...
Sofa used zinauzwa bei Tsh 200,000 kwa zote mbili. Zipo Mbezi kwa Musuguri Dar es salaam. Mazungumzo yapo. Kwa mwenye uhitaji tuwasiliane kupitia namba 0762890123.
Beach plot imekatwa Viwanja kigamboni mita 15 au 20 kutoka Daraja la Nyerere. Narudia Tena mita 15 kutoka DARAJANI. Vipo vya 4 Milion na 6.5 Milion.
Vipo Viwanja 25 10 vishauzwa bado 15.
Karibu...
Nauza kiwanja cha 100/50 maeneo tajwa hapo juu. Eneo lina huduma za umeme, maji, ulinzi, kiroho nk. Ni fast growing area on buildings. Lina hati timirifu. Eneo lipo katikati ya makazi ya watu on...
Nyumba zote zote Zina jumla ya vyumba 9, vitano master na vyumba Vinne vimeisha kabisaa na Kuna wapangaji tayri.
Kuna jiko, sebule kubwa, choo Cha public, dining room. Kiwanja kina square mita...
Habari Wakuu mbalimbali...
Nahitaji gari aina ya Nissan Dualis kwa budget ya 13.5 - 14 M. . Napendelea Nyeusi but kama ipo rangi tofauti na hiyo pia ni sawa .
Waweza nitumia picha na details zake...
Habarini wanajamvi, karibuni sana niwapatie huduma ya zuku unlimited home internet, ni huduma nzuri yenye kasi zaidi, free device(router), na free installation kwa wateja wetu.
huduma kwa sasa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.