Tunauza Sangara kwa bei ya Tsh 7000/1kg, Tupo Tegeta kwa ndevu.
Mawasiliano 0678033668
Pia ninahitaji mtu wa kufanya marketing ya Samaki Sangara na Sato kwa jumla. Malipo tutaongea
Kwenye uchambuzi unaofuata nitakuwa nakushirikisha makosa matatu (3) au zaidi kila siku. Kitabu hiki hakina sura, hivyo nitakushirikisha namba za makosa hadi kufikie kosa la 75 kwenye kitabu hiki...
Viwanja vilivyopimwa vipo sokoni
Eneo - MICHESE, MTAA WA TANESCO DODOMA
Umbali wa km 6 kutoka katikati ya mji, km 2 kutoka barabara kuu ya singida
Maji na imeme vipo
Bei - Tshs 7,500 kwa Square...
Mikopo ya ukarabati wa nyumba ni moja ya njia za kutengeneza fedha kupitia uwekezaji wa nyumba za kupangisha unaoweza kujenga utajiri mkubwa.
Katika kila halmashauri kuna nyumba za kupangisha...
Habari Wakuu,
Nahitaji kijana anayeweza kuzielezea vyema bidhaa zetu za ngozi kwenye vipindi vya television na radio ambavyo tunaalikwa. Akiwa Dar au Kibaha ni jirani na vituo vya television...
Mimi nafanya kazi kama wakala wa kampuni inayo jishughulisha na kuuza LAMI Yoyote anaweza nipatia connection ya mtu anaenunua lami za kutengeneza barabara malipo atapata kutokana na mzigo...
PJA Property Dealers tunakukumbusha zimebaki siku tano kuisha ofa yetu ya Tatu za moto. Hivyo changamkia fursa hii ya kipekee kabla hujachelewa.
Miradi yetu na bei zake
Kigamboni - Buyuni
1.5 km...
Wakuu, kama una sehemu unafahamu wanauza miguu ya kitimoto nahitaji ya kununua.
Nimefungua kijiwe cha Kuchemsha Kongoro zake.
Nahitaji order kuanzia 80 na kuendelea.
Nicheki kwa simu 0762 75 31...
Radio Hiyo excellent condition nchi 10 ilikua kwenye Ist Usb Yake imepotea ipo na waya wa GPS tu ipo kitunda Mwanagati laki na 50 haina tatizo lolote
150000 piga Simu 0759117175
Kenwood
Bei : 120000
Star Strong
Bei :85000
Vilevile kuna Air Frier zile za kuchomea chipsi bila kutumia mafuta pia zipo
Location : Kigamboni na chuo DMI Posta
Mawasiliano: 0658825054
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.