Habari ndugu, jamaa na marafiki..
Naitwa Enock, napatikana Mbezi Mwisho (Kimara). Mimi ni fundi wa kutengeneza samani ( Furniture) zote za majumbani kama vile Vitanda, Milango, Kabati, Sofa, Meza...
Tuna ,original complete charger aina zote
usb cable aina zote
covers za sim
screen protector
flash
mouse
memory kadi
earphone(wired and wireless/bluetooth)
battery za laptop
keyboard
ram
harddisk...
Natafuta jina la kuipa NGO ambayo shughuli zake tofauti zitakuwa kuboresha maisha ya watu wa kawaida wa kila rika nchini Tanzania. Jina linaweza kuwa la Kiingereza au kiswahili, lakini liwe fupi...
UDEREVA WA KUJIHAMI
KUTOKA HOME OF EXCELLENCE DRIVING SCHOOL
Imeandikwa na Mr. Manala Tabu Mbumba, Mhadhiri Msaidizi na Mshauri wa Magari-Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji (NIT)
Home of...
Wakuu nauza dish used euro star 8 ft la bati sio nyavu ina lnb 2 c-band na diseq switch moja na receiver ya media com 930 vimetumika kwa mwaka mmoja vyote kwa pamoja 150000, nipo dsm, karibu kwa...
Plots for sale Bagamoyo Mataya
Kitalu "B"
Eneo la Mataya
Wilaya ya Bagamoyo chenye
Viwanja vipo slope
Viwanja vipo viwili
1. Sqm 1442
2. Sqm 1495
Vinauzwa vyote
Bei 13,000,000/=kwa vyote...
Body ya fuso tipa mpya kabisa haijawahi kutumika inauzwa. Huna haja ya kusubiri tena garage wik mbili au na zaiD njoo uivae na kuondoka zako
Mawasiliano 0685561474
UPDATE: TAA ZILISHAUZWA
Habari zenu
Ninazo taa pea moja [2] nimebadilisha nauza pamoja na busta zake kwa sh 600,000/= tu kwa zote mbili za Toyota Harrier [Chogo/Tako la nyani]
Napatikana hapa...
Ni Mapazia mazuri sana, Kwa muonekano wa Dirisha lako.
Package Ina (Pazia mbili nzito+ Moja jepesi).
Size: Mazito kila moja lina upana mita 1.5, Lace Ina upana mita 3.
Deliveries zipo kwa Dar...
Kiwanja kinauzwa njiro karibu kabisa na barabara ya lemara.
Kwa wale wanaojua kanisa la KKKT Lemara ndio hapo hapo karibu. kabla haujafika kikwakwaru stendi.
Kiwanja ni 30 kwa 15.
kina msingi...
Habari wanajukwaa,
Nina fursa ya kusambaza baiskeli kutoka Finland kwa nchi za Afrika Mashariki.
Mnunuzi wa jumla anakaribishwa kwa maongezi ya biashara.
Ndugu mfanyabiashara, kwanini uwakimbie TRA kwa kukosa mashine ya EFD?
Tumekuja na suluhishilo la tatizo lako. Sasa unaweza kutumia simu yako janja kutoa risiti ya EFD na kumtumia mnunuzi...
TOYOTA MARK X (DHT)
Price : 9million TZS
Model2006
Cc2480
Km88000
Full Ac
Sports Rims & New tires
Colour: Pearl White
DVD/CD/USB port/FM Radio
Clean Interior
Loc:SINZA
Call 0622-644-651
Habari nauza laptop yangu iko na hali zuri haina tatizo lolote
Ina Ram 4 GB
Charge inakaa sana zaid ya masaa matatu
Intel 1:10 ghz
No:0748008079
Price Tsh 250000
SOLD, SOLD, SOLD
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.