Habari yenu wanajamii,
Napenda kuwaataarifu uwepo wa jenereta ndogo iitwayo Crank Box.
Inafanya kazi(Operate) kwa teknolojia ya kuzungusha (Winding technology).
Ukizungusha kwa muda wa dk 1...
By next week nitatoka New York kuelekea SOUTHERN VIRGINIA
Naomba msaada kwa yeyote aishie maeneo ya SOUTHERN VIRGINIA ama karibu.
Nategemea kwenda huko kwa muda kuna project naenda kufanya...
Gari aina ya BMW, X5, toleo la mwaka 2001, rangi nyeusi, inauzwa.
Ninaifahamu gari hii, ni ya rafiki yangu. Kama unataka ku-impress, ndiyo yenyewe. Ina nguvu, inatumia mafuta vizuri, engine yake...
Natural Health Products available to treat Acne, High/Low blood pressure, Overweight, Diabetes and Arthritis (joint pain), Dandruff. The products are of first quality, and have 30 day guarantee...
Napenda kuwajulisha Tena kwamba michango zaidi kwa ajili ya DR W P SLAA inahitajika kwa ajili ya Kampeni zinazoendelea nchini Kote .
Anuani ni M-PESA 0763 177737 ZAP 0787 658125 NMB a/c #...
poleni na hekaheka za kampeni
naomba yeyote anayeweza kunisaidia kupata manufacturers of PVC chest drainage catheters or wholesallers or distributors
size 16, 20,24,36
Wa ndugu habari za Alasiri,
Ninauza kiwanja, kipo maeneo ya Pugu Mwakanga kuelekea CHANIKA. Kimepimwa na kina letter of offer na ukubwa wake ni 971sqm. Bei ni 5.7 M tu. Kipo sehemu nzuri kabisa...
Iwe pembezoni kama si karibu na barabara ya Old Bagamoyo Road basi mita chache kutoka katika barabara hii ( eneo la Mikocheni hadi whitesands, Jangwani Sea Breeze, Beach comber na Berinda) Iwe...
NI TECHOLOJIA YA KISASA AMBAYO NDIO INATUMIKA SANA KWA HIVI SASA.
ZINA UBORA WA HALI YA JUU NA BALBU(GROUPS) ZAKE NI BEI RAHISI SANA.
ZINA MASAA MENGI(8000 HRS) KULIKO PROJECTA NYINGI.
Matumizi...
Inahitajika haraka pesa ipo mkononi tayari. Ikiwa unayo wewe au kuna mtu umemuona au kumsikia anauza nipigia katika simu hii 0717114409/0755312233 au nitumie picha na maelezo katika...
Namtafuta, miongoni mwenu, mtaalam wa Microsoft Excel, atakayeweza kunitengenezea document itakayofanya kazi hii:
Sales Invoice
Invoice inatakiwa kuwa na worksheet mbili.
Worksheet ya kwanza ni...
Did you know there are billions of dollars worth of unclaimed inheritances in the United States? You can search online and Google "unclaimed inheritances"; and you will find that there are...
Jamani mnakaribishwa katika Ibada ya Kusifu na Kuabudu itakayofanyika tarehe 26/09/2010 pale Mlimani City kuanzia saa 8.30 mchana mpaka saa 12.30 jioni. Tiketi zinapatikana Dar es Salaam...
Hallow wadau,naomba mnitafutie nyumba nzuri ya gharama nafuu jijini mwanza kwa ajili ya kupanga na iwe karibu na mjini.Iwe na vyumba viwili ,sebule,jiko na kimoja kiwe na choo na bafu na hata...