Natafuta duet, vitz au starlet, bei isizidi 4.5m.
Namba yangu ni 0787069996.
Wenye kukebehi na kubeza, sitishiki na nyie, macho yangu yamesoma kebehi nyingi Sana hapa jamvini.
Kebehi haziui, wala...
kwema wakuu, nko dar natafuta gari ya mkononi, bajeti 4-5M, vitz/Glanza/carina......nk..cc900-cc1500.. Sihitaji yenye piston 3, ukinirushia picha DM ntashukuru zaidi.
Wakuu, nauza nisan civilian bus kali m. 14.Gari iko mzigoni kko-goms, kuiona gari njoo na fundi wako. Sababu za kuiuza mwenye gari anahamia dodoma.
Mawasiliano 0685247148
Mitsubishi Pajero
model ya 2004.
Registered in 2014.
Iko katika hali nzuri
Inamilikiwa na kampuni binafsi.
Gari inashida kidogo na gear box ila inatembea vizuri.
Nipigie 0754847678 au watsapp...
Toyota passo
Year: 2005
C.C. 1290
Mileage 43,000
Price 7 m
Contact 0719444553
Ni yamwanadiplomasia. Fully duty paid (ndo mana inaplate number ya njano) amepata post nje ya nchi ndo mana inauzwa...
Model: Toyota Harrier Lexus
Year: 2005
Engine CC: 2362
Full AC
Mileage: 110,200Km
Location: Dar es salaam
Price: 21M (Maongezi yapo)
Piga/WhatsApp :0719972458
Gari imetunzwa vizuri kama inavoonekana
NAUZA MAGARI NAPATIKANA KIMARA BARUTI.
NAMBA ZANGU NI 0676217485 OR 0762740081 KARIBU
TOYOTA WISH IMESIMAMIA KUCHA NAMBA DP BEI YA KUTUPA MILLION 12 NAPATIKANA KIMARA BARUTI
VEHICLE INFORMATION
Make: Nissan
Model: Murano
Year of manufacture: 2006
Milleage: 95,000kms
Engine: cc 2480
Clean Seats
Colour: Black
Full Documents (File)
Fuel: Petrol
Transmission Auto
New...
Gari ipo katika hali nzuri sana inasafiri mikoa Inatumia mafuta vizuri sana. Mwanza to Dar - 128L, Dar to Arusha - 64L Mifumo yote ya Umeme/Automation iko poa. Pia tairi, Bush, suspension body ipo...
Toyota Hilux D/Cabin inauzwa. Ipo katika hali nzuri sana. Haina tatizo lolote. Imekua ikitumika kwa kazi za nyumbani. Body, engine, interior vyote vipo katika hali nzuri sana
Details:
Year of...
Toyota hilux 2013 edition Vigo the truckman edition for sale
Colour white
Milage 701300
2kd ingine
Supercharger turbo intercooler
Perfect for safar
New tired
Registed last month DQ
Price 65
C...
Maelezo:
Gari ni mpya kabisa haijawahi kutumika ndani ya Tanzania.
Baada ya kulipia utafanyiwa usajili.
Body ndefu
Inabeba abiria 29
Engine type: KK-HDB51-FTE valve 24
Automatic transmission
Full...
Wakuu salamu.
Nahitaji IST ya mkononi kwa bei isiyozidi 8M.
•Rangi iwe silver, blue au grey
•Iwe ya kuanzia mwaka 2004-2002
•Isiwe imechoka sana.
Kwa mwenye nayo na anataka tufanye biashara...
Habari.
Naitwa Jerry natokea Jerry Empire, mahali pekee tunapohusika na uuzaji magari used ndani ya Tanzania na hata yale kutoka Japan.
Kupitia sisi unaweza kuuza gari yako kwa haraka na bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.