Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

MAGARI YANAUZWA KWA BEI NAFUU.WASILIANA NASI .YAMELIPIWA USHURU,IMPORTED FROM JAPAN. Contact person ;Rama Tel. 022 277 1316, Mobile. 0713 335 474 and 0757 714 410 1.DAIHATSU ATRIA...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanajamii naomba nisaidiwe na nichukue fursa hii kwa kuwafahamisha wanajamii wenzangu kuhusiana na makato ya kila mwezi kwa hawa jamaa wanaojiita NSSF, kwa zaidi ya mwaka mmoja nimekuwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
We supply full system computers(Dell) to schools,colleges,universities and other individuals in Tanzania just for 400,000/=. We can deliver your computers anywhere in Tanzania. "Spend less for...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
:attention: Je umeshawahi kuona box inayowaka? Usingoje kuambiwa....Hebu chungulia hapa ujionee mwenyewe.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hi, This is Jene from China. We are specialized in supplying: Gasoline Engine Diesel Engine Generator Pump Tiller We'd like to find a partner for a long term business relationship, if you are...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wanne wauawa Dar, Polisi waua wawili Yumo anayedaiwa kuiba mpunga. Waziri Mkuu Mizengo Pinda. Matukio ya watu kujichukulia sheria mkononi na polisi kuua...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Adonia Eliasante aka Ardorado Namtafuta huyu mdau anasadikika kuwa anaishi maeneo ya nje ya jiji la chikago, IL. Ninaujumbe wako muhimu. Mwenye details zake naomba anipm.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau wa JF namtafuta rafiki yangu wa siku nyingi anayeitwa Salehe Juma Mpinga. Tulimaliza Shule ya Msingi pamoja pale Uwanjani P/ School ( Kawawa P/ School) kule Kigogo- Luhanga kwa Binti Kahenga...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadaiwa walikuwa ni majambazi Aua shemeji yake kwa deni la 1,500/- Mwingine aua kwa wivu wa mapenzi Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, Advocate Nyombi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani naomba nisaidiwe kama kuna mtu yeyote anaweza nisaidia nipateje Chumba cha kufanyia Biashara yoyote ndogo na mpya kwa Mbeya.Si lazima sana iwe City center lakini eneo lililokaribu na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Anatafutwa dereva wa malori mwenye uzoefu wa safari za masafa marefu, umri miaka 40 na kuendelea.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
We supply full system computers(Dell) to schools,colleges,universities and other individuals in Tanzania just for 400,000/=. We can deliver your computers anywhere in Tanzania. "Spend less for...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Alitumwa kutafuta kuni wakamvamia Mtoto mwenye umri wa miaka saba, Kurwa Musa, mkazi wa Mwasele A katika Manispaa ya Shinyanga, amekufa baada ya kushambuliwa na mbwa watano, wakati...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wapendwa wana JF nawatangazia msiba wa mdogo wangu aishie Dar. Alivamiwa na majambazi jana usiku mida ya saa 3 hivi. Walimpiga risasi sita na kufariki papo hapo. Mipango ya mazishi ni pale 92...
0 Reactions
68 Replies
7K Views
Kwa kuanzia kuna mdau Icadon kaandaa ya kwake... Tunahitaji tangazo ambalo litakuwa la kipekee kwa ajili ya kuweka kwenye Bilboards za Tanzania na Tv Screens. Angalia alichoandaa mwenzetu: JF...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Watu watano wafa kwa kufukiwa na kifusi Wananchi waua sita, mmoja kwa kuchinjwa Nyumba nne zatiwa kiberiti, familia zaokolewa Kamanda...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wenzangu wa kijijibay, please read below the updates from our site: Dear friends; This months marks the 2nd month since the launch of kijijibay. Thank you for your support and posting your...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani naombeni msaada wenu wa hali na mali, ni nahitaji nyumba ya haraka iwezekanavyo ndani ya wiki hii. Iwe maeneo ya sinza ,kijitonyama,mwenge ,mbezi beach tegeta ubungo.. Iwe na vyumba viwili...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
MJI wa Arusha mwishoni mwa wiki ulizizima baada ya kutokea habari za kifo cha kutatanisha cha mkazi wa Levolosi, Omari Salim, 44, aliyefariki dunia wakati akipelekwa Hosptali ya Mt Meru baada...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
NA MOHAMMED ISSA SERIKALI inatarajia kutumia sh. bilioni 15 kuwalipa fidia wananchi watakaoathiriwa na ujenzi wa barabara ya Jangwani-Kigogo hadi Ubungo Maziwa. Barabara hiyo itajengwa kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…