Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Hi, Natafuta walimu wa masomo ya Computer. Topic zenyewe ninazohitaji pata ufahamu zaidi ni LAMP (Kwa ajili ya web based Database) yaani: Linux Apache MySQL PHP Kama kuna...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nataka kuagiza gari kwa njia ya mtandao je mtandao gani ni salama? Je kuna mtu ameshawahii kuagiza kupitia mitandao hii,naomba msaada wenu Je www.tradecarview.com na www.japantradecar.com...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
The 2nd Tanzania Automotive Festival 2009 builds on the success of the inaugural event last year. This year's show promises to be a comprehensive show that includes exhibits in the passenger cars...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani naomba kujua kama kuna mtu anaejua kuwa namba inayoanza na code +177 ni ya nchi gani? maana kuna namba huwa inanibeep mara kwa mara, na nikiipiga inaiambia no connection. Kwa anayejua...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Nimeleta kama tangazo ,lakini ni kero ambayo,mimi mtanzania mzalendo ninayo-mbona kuna wahamiahaji haramu wengi sana hapa Tanzania,tofauti na majirani zetu k.m Kenya,DRC nk.Wapo tu na wanafanya...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Waungwana nataka kuagiza hii Suzuki ya 1994: http://www.tradecarview.com/used_car/japan%20car/suzuki/jimny/814099/ Year / Month: 1994 Odometer: 18,000 km Displacement: 650 cc Bei yake ni...
0 Reactions
53 Replies
8K Views
Mama afariki, mtoto aokolewa Mwanamke mmoja amefariki dunia Jijini Dar es Salaam baada ya kunywa sumu ya panya ambayo pia alimnyesha mwanae mwenye umri wa miaka sita. Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Men natafuta DCM ila Bei yake isizidi 12m. mwenye info naomba anisaidie. private mail please!!!
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Una mgodi wa madini yoyote na unashindwa kuuendeleza kwa kukosa mtaji? Kama ndivyo tuwasiliane tujaribu kupata mwekezaji toka nje.0786817145
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi guys, Iam about to launch a weekly advertisement paper in Dar and for now Iam looking for a graphic designer and marketing department people who will be sales representatives to look for Ads...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, kuna nyumba inauzwa mbagala kuu n iko kwenye hali nzuri. Bei maelewano.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
toyota nadia ya mwaka 2000 silver CC 1980 odo 110,000km 3s engine not d4 options Anti-Lock Brakes / Driver Airbag / Passenger Airbag / Power Windows / A/C:front / Power Steering / AM/FM Radio /...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Mabomu ya Machozi yaani mabomu ya GAS 2-chlorobenzalmalononitrile yanatengenezwa kutokana na Chemicals ambazo wengi wanaamini hazina madhara makubwa kiafya- Lakini utafiti unasema kuwa huleta...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna habari ambazo bado ninazifuatilia kuwa kuna mtanzania amekutwa amekufa ndani ya nyumba yake baada ya Polisi kuvunja mlango. Ninajaribu kufuatilia kupata habari kamili.
0 Reactions
29 Replies
6K Views
IMESHAUZWA - ASANTENI WADAU toyota nadia ya mwaka 2001 CC 2000 odo 100,000km 3s engine na sio D4 ina wiki moja toka iingie kutoka japan. OPTIONS Anti-Lock Brakes / Driver...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
2003 year of manufacture. IHZ Diesel 4164cc . in good condition. Price 31mil. negotiable. contact 0717114409
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni kweli, ghrama ya pasipoti imepanda kutokana na budget mpya ya june 2009??Formu ya kwanza ilikuwa 10.000tsh na wakati kupata ilibaki kama 40.000tsh. hii ndiyo iliviyo mimi nilijua lakini sasa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mauaji ya albino bado yanaendelea Tangu BBC ilipofichua kwamba waganga wa kienyeji au wa jadi ndio wanaochochea mauaji hayo Julai 21 mwaka jana idadi ya watu waliouawa imeongezeka toka watu 27...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
</SPAN> Stephanie alivyo sasa na sikio lake lililonyofolewa kulia Friday, September 25, 2009 8:01 AM Mwanaume mmoja wa nchini Ujerumani mwenye wivu wa ajabu baada ya mpenzi wake kuamua kuvunja...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wauaji wa albino kunyongwa Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…